Recent content by athuman kezzo

  1. athuman kezzo

    Mechi ya keshokutwa mashabiki wote wanaruhusiwa kuingia uwanjani bila kiingilio

    Mpira wa tanzania ni majanga tff wameshindwa kabisa kuipa support yanga kama fa zingine zinavyosaidia timu zao,ni bora kuwaingiza watu bure tutotelewe tucheze ligi yetu ya mizengwe!hatuwezi cheza kama tupo nje ya nchi,,tff ovyooo kabisa
  2. athuman kezzo

    Kejeli za Eddo Kumwembe dhidi ya Rekodi za Zitto Kabwe

    Kijana edo ila mtu mwenye upeo mpana kwenye dports hasa soka ni mchambuzi mzuri,kwenye siasa maashalaah ....hongera
  3. athuman kezzo

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Huna chochote ulichoandika,,kama huu ndio uwezo wako wa kufikiri ,,ipo kazi
  4. athuman kezzo

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Huna chochote ulichoandika,,kama huu ndio uwezo wako wa kufikiri ,,ipo kazi
  5. athuman kezzo

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    Kiukweli mradi huu wa dart unachangamoto nyingi sana,mabasi adubuhi kuanzia kimara ni vurugu tupu,kituo kinajaa mpaka mwisho na gari zinakuja chache mno kiasi kwamba wizi na vitendo viovu vinachipuka kwa kasi,jioni inakua zamu ya kituo cha msimbazi yaani mabasi yanayotoka gerezani yakua yamejaa...
  6. athuman kezzo

    Kombe la shirikisho Africa: Yanga yapangwa na TP Mazembe kundi moja

    Ukijiongeza kidogo tu nenda caf online utaacha ligi ndogo
  7. athuman kezzo

    Kombe la shirikisho Africa: Yanga yapangwa na TP Mazembe kundi moja

    Uongo wa mchana!draw za makundi zitapangwa live leo saa moja usiku kupitia supersport live
  8. athuman kezzo

    Hivi UDART ndio nini? Sioni unafuu kabisa wa kupunguza foleni

    Mleta mada hajaangalia muda anaotumia sasa na kupima na aliotumia kabla mradi laa sivyo asingeleta hii mada chovu humu jamvini
  9. athuman kezzo

    Tukumbushane Watangazaji wa mpira wa enzi hizo

    sekione kitojo..salum mbonde..mikidadi mahanoud.ahmed jongo..dominick chilambo..charles hilary..aboubakar liongo..mshindo mkeyenge..tido d mhando..abdalah majura
  10. athuman kezzo

    Yaliyojiri kutoka uwanja wa Mpilipili: Mkutano wa Dr. Magufuli jimbo la Lindi - Oktoba 12, 2015

    mkapa aliwaita watz malofa na wapumbavu..mwigulu akawaita nyumbu..leo membe kamalizia kuwa ni kenge..panya.na mbwa..sijui kama tume wapo hai..na tusubiri na kuona..ila its too much kwa mwanadiplomasia lama yy..anatishia watu kuwa mabadiliko maana yake ni vita..tuliongozwa na akili ndogo watu...
  11. athuman kezzo

    Magufuli kuondoa 'Mawaziri vivuli' bungeni

    watu wanaushabiki wa kipuuzi sana..ktk bunge lolote duniani lenye mfumo wa vyama vingi uwaziri kivuli ni kanuni ya lazima..sasa pombe anaifuta vipi?na bunge likitaka kupata ripoti ya upinzani wanazipata wapi kama sio kwa hao mawaziri vivuli..achaeni ushabiki maandazi..kitu kama hujui kaa kimya...
  12. athuman kezzo

    UKAWA kutokuhudhuria katika misiba ya viongozi wa siasa

    mtoa mada umekurupuka ..ukawa sio chama..na ukumbuke msiba wa peter kisumo msafara wa lowassa ulizuiwa mwanga..je angeendaje jana tumemuona maalim seif pale kwenye msiba wa mtikila..hoja yako ni nn?au ndio ukauzu wenyewe?
  13. athuman kezzo

    Huyu ndiye Edward Lowassa

    na jinsi ulivyoyaweka vizuri ungeenda mahakamani tu lazima ushinde
Back
Top Bottom