Jaman naomba mnisaidie jina la wasanii walio imba wimbo huu, na jina la wimbo pia ikiwezekana. Ili niweze kuutafuta.
" nikikupa kupa kuupa utalewaa aah, nanikikunyiima dhuruma ×2.
Nishachoka mie, usichokoo ×3 "
Mim nikijana nIna 26. Kuna dada nIlimpata chuo ananipenda sana kanizalia katoto kana mwaka 1.5 sasa. Mahusiano yetu yana miaka mi3. Na nimda sana ananipigia kelele kuhusu ndoa.
Nami ninamthamini sana kwakuwa anamapenzi yakweli kwangu. Tatizo mimi ninatamaa sana ninawatamani sana wadada wengine...
Toyota voxy, used from japan.
Engine 1980cc, mileage 12690km.
Unapewa Warranty na offer ya kufanyiwa usajili.
Hyo na nyingine nyingi utazipata kutoka kwetu kampun kubwa ya kuaminika.
CARHUNT JAPAN LIMITED.
0713078466
Lakin pia wamesha clarify hapo kwamba hiyo penalty ya 10% ya kuchelewa kulipa after 24 months ni one time payment sio kwamba eti itazidshwa kwa idadi ya miaka ulichelewa kulipa hapana.
Dah kiukweli wee jamaa unaongea point tupu. Yaan mpaka unaanza kunishawishi kumuoa bikra wangu nlie mzalisha na nipo nae kwenye mahusiano na anataka leo kesho nimuoe sema mimi ninadanganyika na hawa watoto warembo wamejazia lakin sio mabikra. Kitu ambacho kina nichelewesha kumuoa nilo mtoa bikra...
Habarin za sahiz jaman kuna ka birthday ka mtoto hiv karibuni.
Nilikuwa naomba kuelekezwa kwa hapa Dar, studio inayofanya photoshoot na kuandaa background kama mfano wa picha niliyo attach hapa. Ntashukuru kwa ushirikiano wako.
Habarin za sahiz jaman kuna ka birthday ka mtoto hiv karibuni.
Nilikuwa naomba kuelekezwa kwa hapa Dar, studio inayofanya photoshoot na kuandaa background kama mfano wa picha niliyo attach hapa. Ntashukuru kwa ushirikiano wako.
Dah kama alivyosema jamaa hapo juu wa ajiri wapo.
Sema mi nnaweza nkasema kumfundisha mtu kaz ya uwakala mpaka akawa konki plus techniques za kuepuka matapeli ni kaz ngum saana kufundsha.
Mfano mimi huaga nnajitolea tu kufanya hivyo kwa mfanyakaz ambae nnajua ntakua nae kwa mda mrefu.
Part...
Jaman please naomba mnisaidie kuna nyimbo nnaipendaga sana lakin simjui msanii wala jina la nyimbo kwahyo nnashindwa kuupata youtube.
Ila nnaujua baadhi ya vionjo vyake.
"... Oe oe oeoo, oe oe oaa..." ×2
Anaimba hivyo ni saut ya kike.
Anaeujua please[emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.