Msaada: Nataka ujuzi katika biashara ya mobile money transfer

PierreLiquid

JF-Expert Member
Oct 16, 2019
596
2,279
Habari wakubwa,

Mimi ni kijana mdogo wenu (jinsia Me) mwenye umri wa miaka 25. Nilibahatika kupata ujuzi katika SME's as Credit Officer mwaka mmoja na nusu, na vilevile Customer Relations Officer mwaka mmoja. Elimu yangu ni Stashahada ya ugavi.

Mimi ni kijana ninayependa kujifunza kila wakati na ndio maana huwa najitolea sana ili nifahamu zaidi. Nilijitolea as Loan Officer na nina ujuzi sana sana, ila wakubwa nimegundua ni vigumu kutumia ujuzi huu kujiajiri sina mtaji huo wa kuifungua microfinance.

Kikubwa kama awali nilivyosema, napenda kujifunza na katika moyo wangu Mungu wangu shahidi ninaipenda sana biashara ya mobile money transfer (M-Pesa,Tigo Pesa, Airtel Money, Ezy Pesa nk) Kwa sasa sina mtaji ila sihitaji mtaji.

Kwa sasa nahitaji msaada wako mwenye kuweza kunisaidia angalau niweze kupata ujuzi tu kwani nipo tayari kujitolea mpaka pale nitakapo fahamu Kwa miezi kadhaa angalau unifikirie kuishi kwangu.

Mimi ni muaminifu sigusi mali ya mtu bila ridhaa yake..Sihitaji kufanya kazi bank kwasababu ujuzi wa bank hautonisaidia baadae kwenye maisha yangu.

Asante na Ubarikiwe
 
Ko aje na nini na nini uli umuamini
kwanini hauhitaji kufanya kazi BANK!!! what went wrong with banks ................ why you just make peepl dem asking many questions before start to help you?? JE UPO TAYARI KUFANYA KAZI KWENYE MICROFINANCE ?? NAFASI HIYO YA AFISA MIKOPO? UPO MKOA GANI? NA UNAFIKIRI MKOA GANI UTAWEZA KUFANYA KAZI UZURI ZAIDI.
 
kwanini hauhitaji kufanya kazi BANK!!! what went wrong with banks ................ why you just make peepl dem asking many questions before start to help you?? JE UPO TAYARI KUFANYA KAZI KWENYE MICROFINANCE ?? NAFASI HIYO YA AFISA MIKOPO? UPO MKOA GANI? NA UNAFIKIRI MKOA GANI UTAWEZA KUFANYA KAZI UZURI ZAIDI.
Mkuu mimi nipo Dsm..nimemaanisha hivi Kwa sasa Nahitaji kufanya kazi ambayo itakayonipatia ujuzi utakaonisaidia kujiajiri mwenyewe ata baadae. Bank ilikuwa ni mkazo wa mfano wng. Nimeona vijana wenzangu wanaajiriwa baadae kupita ajira yao wanajiajiri naona hii ndio njia sahihi ya kimaisha
 
Dah kama alivyosema jamaa hapo juu wa ajiri wapo.
Sema mi nnaweza nkasema kumfundisha mtu kaz ya uwakala mpaka akawa konki plus techniques za kuepuka matapeli ni kaz ngum saana kufundsha.
Mfano mimi huaga nnajitolea tu kufanya hivyo kwa mfanyakaz ambae nnajua ntakua nae kwa mda mrefu.
Part timers wananshindaga maana after a very huge work ya kumnoa tu then anaondoka kisha unaanza upyaaa kumnoa mwingine.

Kwahyo nnakushaur bora umtafute mtu unaemjua ye ndo atakusaidia au hata wakala fulan wa mtaan kwenu uliemzoea ufanye kama unajitolea then akupe pesa kiasi.
Mfano mimi nilianza kupata mafunzo kwa babamdogo alikuwa ananilipia msosi tu kwa mamantilie then ndo nkaenda kuajiliwa kwa kikampun fulan cha hizohizo tigo pesa then nkaacha now tiyar nina viofisi vyang viwili vya tigopesas.
 
Back
Top Bottom