Recent content by atem

  1. A

    Nataka Simu aina ya Tecno

    Mim ninayo TECNO P 5 mkuu kama wahitaji na yenyew naomba kujua [emoji63]
  2. A

    Mawaziri wavunja sheria ya kazi Tanzania

    why cant u stand wew kama wew na badala yake unafanya comparison na wazungu,dats y sisi wabongo hatuendelei:shock:
  3. A

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    my nisaidie hii s.2162.0058.2011:llama:
  4. A

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    nisaidie hii wng s.2162/0058/2011
  5. A

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    asante baba nmeipenda hiyo
  6. A

    Kama hujajua kama umepata LOANS from HESLB tupia form index no usaidiwe

    samahan mdau nchekie ii # s3634/oo78/2010:cool:
  7. A

    Naomba msaaba loan board

    pole xana kijana wa tanzani kwa mihangaiko :A S 576:
  8. A

    Mtaani kwetu

    Mie meenyew nashanga izi chupi za siku izi!
  9. A

    Rais Kikwete aonya juu ya kutoa ahadi zisizotekelezeka

    Mim nasubir njia ya lami tu ya kuyoka Ngorongoro to Serengeti!maana waanachi wapo pia huku wakisubiri fidia zao
  10. A

    Job Ndugai na Tundu Lissu uso kwa uso kwenye 'Kpima joto' ITV

    Ndugai hoi kiimya utadhan amekunywa maji ya mtungi
  11. A

    Hello!

    welkamu home of great thinkerssssss
  12. A

    Nampenda sana lakini aniamini nifanyeje

    huyo hakupendi kabisa na pengine amepitwa na wakati,yeye bado yuko analogia na ile wengine tuko digitali,hadi fb hataki huyo ni burula 2 acha nae kila ukicheka utamu,kila ukilia utamu
  13. A

    Uajibikaji na uadilifu wa mh harison mwakyembe

    Kiukweli viongozi wetu wanafanya kazi kwa kunyenyekea hasa kiongozi wetu Rais jk,leo tar 3 mh harison ambae mimi ndie na mheshim katika utendaji kazi wake,leo hii katika kushelekea miaka 36 ya ccm amehutubia wanakigoma lakini hutuba yake imejaa mh mwenyekiti!!kwa namna hiyo basi inaonyesha...
  14. A

    Mtaala wa elimu kuwasilishwa tare 6.2.2012

    we kilaza kweli-kweli,unashindwa kujitambua mpaka sasa uko mwaka gani,cheki huo mwaka wako uliotuandikia! mimi nina wasiwasi na wewe maana inaonekana umekurupuka tu na hata hujui kinachoendelia,,, "think twice before you done"
  15. A

    Raisi wetu Yuko Bilila Lodge Serengeti akipumzika baada ya majukumu ya mwaka mzima

    umeishaonaa tatizo ni kwamba watu hawajui kuwa yeye ndie mumliki wa hiyo hotel!!!!lakin sanjali na hayo kwa nn msafara mkumbwa wa magari na ile hali ni mambo ya private????
Back
Top Bottom