Mimi mwenyewe ninataka nifungue blog lkn tatzo kubwa nililonalo sina vifaa alafu na faida sijajua inapatikana vipi,nimejaribu kuwaulizia baadhi ya mablogger kwa hapa wilayani kwetu hawataki kunambia ukweli na ni watu wangu wa karibu naomba unisaidie ndugu
We yunus acha kupotosha watu mkutano uliiisha saa kum na mbili na dk kadhaa,alafu suala la kuzomea tumewazoea ni kawaida yao kuzomea na suala la nyomi jiulize wamepitia kata ngapi kuzindua miradi?wamepita kila kata kuangalia utekelezaji wa ilani ya chama na kule wamekuta watu kila...
Ss unachokikataa ni kipi siku zote bukoba wanatumia kijukwaa ila siku hiyo walitumia meza angalia picha vizuri na usibishi kwa kitu ambacho kipo na cha kweli na suala la T-shirt sio wote waliozipata zilizotoka kwa sasa zimetoka kidogo na watu ni wengi
Walianza ziara asubuhi katika kila kata zote zilizopo ktk jimbo la bukoba mjini na kila sehemu walipokwenda walikuta watu kwa ajili ya kufungua miradi maalum inayoendelea kujengwa na ktk baadhi ya maeneo hakukuwa na taarifa ya ujio wao kutokana na zoezi la uandikishaji unaoendelea ila kwa ufupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.