Kwa wadada walioolewa tu: Aina ipi ya mchepuko ni bora?

Kwa wadada walioolewa tu: Aina ipi ya mchepuko ni bora?

Kama kweli unampenda bora uchepuke na wife wako tu, Kama Mimi ninavyofanyaga nikimisi kuchepuka nabadili line nampigia wife tuonane hotel fulani tunayamaliza huko kila mtu anarudi nyumbani kimpango wake
Hahahaaaa kama ni kweli basi nyie mmechanganyikiwa.
 
Bora achepuke na mchepuko wa hit and run ila atumie kondomu tu baas!nyumba ndogo ni hatari zaidi
Kwa nini unafikiri nyumba ndogo ni hatari kuliko hit and run?
 
Kwa nini unafikiri nyumba ndogo ni hatari kuliko hit and run?

Hatari ya nyumba ndogo ni kwamba,wengi wao hawawi waaminifu kwa hiyo inaeza kuleta magonjwa tofauti tofauti kutoka kwa watu wengine maana mtandao unakuwa mkubwa sana.

Nyumba ndogo inahatarisha usalama wa nyumba kubwa maana huko kunazaliwa watoto,kunajengwa nyumba huko na magari yananunuliwa huko nyumba ndogo.
Madhara ya nyumba ndogo mengi mno
 
Kama kweli unampenda bora uchepuke na wife wako tu, Kama Mimi ninavyofanyaga nikimisi kuchepuka nabadili line nampigia wife tuonane hotel fulani tunayamaliza huko kila mtu anarudi nyumbani kimpango wake

Haaa! Kwa mke wako wa ndoa? Unafanya nae apointment to hotel in the same town,? Ur temp must be above 39c
 
huwezi kuchagua dhambi, lkn wanawake wanatakiwa kuokoka ili kuweza kuwaombea waume zao kiukweli pasipo kuwa na hofu ya mungu, michepuko itawaua watu wengi kulikn hata malaria. Mungu Awape Neema Wamama

Amen .. There is no powerful prayers like Wives prayer ... Women have very powerful anointing never disappoint a wife ... .

Mtumishi in marriage we both need to know and understanding who are serving in this earth. Marriage is a calling just like Other ministries calling.. Married people if they could just take it as their institution of ministering to others by follow what is written in Holly Bible , the wouldn't think about the Plan B, C aka michepuko and etc.. They all could think about what to do more to please our previous God.. Let's stay in the right path , and do what is righteous in the eyes of our God's eyes .. Amen.. Thanks..
 
huwezi kuchagua dhambi, lkn wanawake wanatakiwa kuokoka ili kuweza kuwaombea waume zao kiukweli pasipo kuwa na hofu ya mungu, michepuko itawaua watu wengi kulikn hata malaria. Mungu Awape Neema Wamama

Amen .. There is no powerful prayers like Wives prayer ... Women have very powerful anointing prayers never disappoint a wife ... .

Mtumishi in marriage we both need to know and understanding who are serving in this earth. Marriage is a calling just like Other ministries calling.. Married people if they could just take it as their institution of ministering to others by follow what is written in Holly Bible , the wouldn't think about the Plan B, C aka michepuko and etc.. They all could think about what to do more to please our precious God.. Let's stay in the right path , and do what is righteous in the eyes of our God's eyes .. Amen.. Thanks..
 
"you simply feel like you are not worth being the main chick". Your man is not so proud to show you off to the world.... Like hey "this is my darling wife, my one and only"


Exactly, that being said, why do some women opt to be concubines? Is it a choice or lack of choices?
 
Exactly, that being said, why do some women opt to be concubines? Is it a choice or lack of choices?
Ugumu wa maisha. Wanawake wengi hawana kazi za kueleweka. Wengine wamezalishwa na kuachwa. Option pekee inayobakia ni kutafuta mtu wa kumsaidia ki maisha. Hawapendi lakini wanalazimika kuwa nyumba ndogo
 
Exactly, that being said, why do some women opt to be concubines? Is it a choice or lack of choices?

It is a choice. The concubines simply allow the games that married men run on them. If u don't give consent to become a side chick, who on earth will force u to become one? Possibly u are not confident enough in yourself to deserve to be "the number one"'...why allow yourself to be someone's back up plan?
 
Bora achepuke na mchepuko wa hit and run ila atumie kondomu tu baas!nyumba ndogo ni hatari zaidi

Bora umejisemea ukweli mpenzi. Wengine wanajishaua tu. Hit and run ndo yenyewe. Nyumba ndogo zinafilisi na mara nyingine ndio mwanzo wa uanzishwaji wa familia nyingine. Kibaya zaidi nyumba ndogo si yako peke yako.... inajua kabisa hutaioa so huwa inajaribu kwa wengine kuona uwezekano wa ndoa.

Nyumba ndogo ukimwi nje nje.... huwezi tumia kondom muda wote...
 
Mume wake anaweza kuwa one those ambao wanaonyesha to be so proud with you. Kwenye facebook na everywhere picha zako zinawekwa. Kwenye mitoko mbalimbali ya kiofisi na kishkaji mko pamoja na na ku introduce very proudly but still anachepuka
Ana mshow off mkewe, sio Mchepuko wake. Kwa hiyo huo Mchepuko unafichwa tu Huko Nyuma usionekane. Mke ndo yupo front, center, hajifichi wala hafichwi Kama wewe Mchepuko
 
Bora umejisemea ukweli mpenzi. Wengine wanajishaua tu. Hit and run ndo yenyewe. Nyumba ndogo zinafilisi na mara nyingine ndio mwanzo wa uanzishwaji wa familia nyingine. Kibaya zaidi nyumba ndogo si yako peke yako.... inajua kabisa hutaioa so huwa inajaribu kwa wengine kuona uwezekano wa ndoa.

Nyumba ndogo ukimwi nje nje.... huwezi tumia kondom muda wote...

Ni kweli kabisaa!kula like mkuu :thumbup::thumbup::thumbup:
 
It is a choice. The concubines simply allow the games that married men run on them. If u don't give consent to become a side chick, who on earth will force u to become one? Possibly u are not confident enough in yourself to deserve to be "the number one"'...why allow yourself to be someone's back up plan?
I thought it was lack of choices, they don't appreciate anything from married men, neither their game nor their presence in their lives, it's cheddar that keeps them in the game, most ladies are materialistic but also few men are ready to settle nowadays. Kuwa hawara ni utumwa asee!!
 
I thought it was lack of choices, they don't appreciate anything from married men, neither their game nor their presence in their lives, it's cheddar that keeps them in the game, most ladies are materialistic but also few men are ready to settle nowadays. Kuwa hawara ni utumwa asee!!
At 20 binti anadate mume wa Mtu, na yeye tutasema Ni lack of choices ??, Mbona her whole life is ahead of her.
I simply think the material things they receive from married men, is what make worth the trade off of not being the main wives. So long as kuna benefits package wanazipata, basi kwao its very ok Kuwa side chicks. Their choices anyway...
 
huwezi kuchagua dhambi, lkn wanawake wanatakiwa kuokoka ili kuweza kuwaombea waume zao kiukweli pasipo kuwa na hofu ya mungu, michepuko itawaua watu wengi kulikn hata malaria. Mungu Awape Neema Wamama

Amen.....
 
Mmmh hakuna cha kuchagua hapo, mume anaumaaa acha kabisa
 
Kama kweli unampenda bora uchepuke na wife wako tu, Kama Mimi ninavyofanyaga nikimisi kuchepuka nabadili line nampigia wife tuonane hotel fulani tunayamaliza huko kila mtu anarudi nyumbani kimpango wake

Hahahahaha nmecheka sana
 
chepuka tu lakini
1. ukiniletea ngoma week moja ukiishi ni bahati najua kama nmeathirika jela ntatoka tarehe 9/12
2. mchepuko nkiujua tingikali ya papuchi inamuhusu kama mbwai na iwe mbwai
 
Back
Top Bottom