Recent content by asseyezio

  1. asseyezio

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Tafathal naweza tukazungumza kuhusu blood donation.. uone yehova anamaoni gan katika biblia?
  2. asseyezio

    Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Na yehova akuthawabishe
  3. asseyezio

    Top eleven hack

    Halihackiki .. Mahacker wameblow
  4. asseyezio

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mmebebwaa dk 101
  5. asseyezio

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Record inavunjwa bila huruma.... Hamna kikosi wala kocha wakumzid mou akili
  6. asseyezio

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Si Sibishi najua hatujawah kuwafunga darajan Toma 2012 pie bila mou kuwapiga Mara Mbili 2-0 na last match 2-1 mungekua hamjawah kufungwa na United ila mourinho ndy anawamudu.... Msitegemeee penalty badae lazma mkalishwe... Mkipona draw
  7. asseyezio

    Nahitaji used phone 250,000tsh

    Note pale Juu ram above 2gb
  8. asseyezio

    Nahitaji used phone 250,000tsh

    Tunajua kuziset..... Tunachange imei alaf haturestor chamsing muuzaj awe wazi
  9. asseyezio

    Nahitaji used phone 250,000tsh

    ninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
  10. asseyezio

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mourinho alifichua kuwa alipokea ujumbe wa imani naye kutoka bodi ya Manchester United kabla ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Newcastle. nimeipenda hii nampenda sana mourinho ila philosophy ya kupack bus kwasasa kikosi hakija kamilika... hivyo tufumuke au asepe aje zizzu kikosi kitamfaaa sana...
  11. asseyezio

    Ni kwanini watu waliopata daraja la 3 na 4 sekondari wana mafanikio katika maisha kuliko wale wenye 1 na 2

    sio wote .wanaofanikiwa ila biashara ndy hutajirisha zaid kuliko kuajiriwa maana hautatajirika atatajirika mwajiri wako.... pia ile philosophy ya kushindwa kielimu huongeza juhudi zaidi na huondoa aibu hivyo kazi yoyote unaweza fanya
  12. asseyezio

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    umeongea point ila wazo la biashara yeye hana na ndyo maana anahitaj msaada.... HAPA UTAMKATISHA TAMAA
  13. asseyezio

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    mjini utapata wateja gan .... labda uuze mahindi ya makande
Back
Top Bottom