endelea kushika pembe maana Abraham wake unamjua ila unajichetua.
Mwenzio kakugeuza kitega uchumi chake mweh mweh mweh unasubiri embe dodo chini ya mlimao.
hahaahhahahaha baba zetu wa kidijitali wanajifanya wanatafuta mapene hadi ukaribu na familia unapungua,kiukweli wadada wa kazi nyumba nyingi wanafulishwa nguo za ndani,tena makapu yanatolewa siku za kazi watu wengi hawapo na mikwara juu wanapewa. Wanawake baadhi wana roho za kijasusi sijapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.