Hakuna gari bovu mitandaoni issue ni mafundi wetu ohh D4 eti ni pasua kichwa,wanaozijua D4 hawasemi.ufundi wetu ni shida sana na matumizi ya gari hiyo ndio shida nyingine we unaambiwa mafuta tumia unleaded tuu wewe unaweka ya matopeni kisungwa na kidumu chako unadhani rvr yako itadumu?? We nunua...
Ok,but kwa nini sisi wabongo bado tunakuwa watumwa wa windows kama zamani vicmu vodogo na kubwa?? me nadhani windows XP still iko the best na win NT hizi nyingine ni danganya macho kama za mrembo mzuri lakini hajui kupika...
Mkuu hapo issue ni bios imepagawa baada ya battery kwisha badilisha battery kisha nenda kwa bios uziupdate setting za hard drive,kwa kuwa hiyo board ilikuwa inasukama hata SATA hard drive issue ni hiyo tuu,na ukihitaji LCD monitor ya 17" ya Dell nitafute kwa 0766 50 70 80 takuuzia kwa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.