Takwimu za Britain sainsbury bank, zinasema kuwa wazazi wenye watoto wa kike wanatumia zaidi ya dola 400 toka kuzaliwa mbaka umri wa miaka mitano tofauti na wazazi wenye watoto wa kiume.
Sababu kubwa ni mavazi. Mavazi ya kike ni gharama zaidi ukilinganisha na yakiume mfano gauni, viatu, kofia...
Nadhani hadithi za mitume na manabii zimeongezwa chumvi lengo kuvutia wasomaji tu lakini hakuna uhalisia.
Yani kwamba umuone mwanamke mzuri au mwanaume handsome mbaka ujikate vidole kwa mshangao hizo ni fix
All around in my home town they're tryin
To take me down
They say they want to bring me in guity for the killing of the deputy. For the life of the deputy
Sherrif John Brown always hated me for what I don't know
Everytime I plant a seed he said kill it before it grow he say kill them before...
Mwanaume kabla ya kufikiria kuhusu ndoa jifunze kutoa kitu kwanza maana huku wenzako tunatubu. Wanawake kwanini tukipishana kauli kidogo tu mnanuna na chakula hampiki mnataka tukale wapi wakati maitaji yote yapo ndani.
Take me away from all the pressure and all the pain, show me some happiness again I'm goin' blind.
I spend my time in this cell, ain't livin' well
I know my destiny is Hell, where did I fail?
My life is in denial, and when I die
Baptized in eternal fire, I'll shed so many tears.
Lord, I...
Kiukweli nimekufa moyo. Iko hivi ata kama una rafiki yako hamjaonana miaka buku usiombe picha yake iyo ni laana,unaomba picha eti umuone tu asa inakusahidia nini.
Kama mtu hajataka kuposti picha yake kausha unaomba picha ya nini?
Wewe sio wakwanza wala wa mwisho kukupenda au wapekee kwake. Alishawai kupenda kabla pia anaweza kupenda tena. Lakini kama sasa hivi anakupenda wewe nini kingine unachotaka?
Yeye sio mkamilifu wewe pia. Nyie wote wawili hamuwezi kuwa wakamilifu.
Alikuwa na nani hapo zamani au atakuwa na nani...
Bob Marley anakuambia ya kwamba
"If she's amazing. She won't be easy
If she's easy, she won't be amazing
If she worth it, you won't give up
If you give up, you're not worthy.. Truth is
Everybody is going to hurt you, you just
Gotta find the ones worth suffering for.
Mwanamke huyu akataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.