Recent content by askarikambi

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

    Umesema vizuri, ndoa ya kwanza mliforce, na hii umeona penzi. Usisite, olewa. Ukifika mtii mumeo, penda ndugu zake. Wanaume hatufanani, tuvumilie, utii, weka mazingira safi, akiongea onyesha kuheshimu maoni/maelekezo yake hata kama unaona ni pumba, kisha kwa kutumia hekima mueleweshe kama...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Tamthilia ya Othman ya Azam TV, lengo lenu ni kuudhalilisha Ukristo. Itoeni mara moja

    Hii msg itume Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili wapate sehemu ya kuanzia. Kwa kanuni zetu, wanakosea.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na monitor wangu wa darasa amechoka, yaani amechakaa kinoma!

    Huyo ndio aliyekujenga, yafaa kumshukuru. Ndiye aliyekupa akili ya maisha.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Ahsante Rais Samia, hatimaye baada ya miaka 7 kazini mwezi huu nimepanda daraja

    Achana naye! Ana stress za hali ngumu ya kiuchumi. Hajui wapi ataingiza kipato halafu anaona post ya mtu kapandishwa daraja. Mtu mwenye uhakika wa "kula", akisikia jirani yake "anakula" wala hapati tabu. Ila ambaye hana uhakika wa "kula", hata akisikia halufu ya chakula kutoka kwa jirani...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hizi shule za English Medium zimetugeuza Wazazi kuwa Walimu?

    [emoji28] Yaani kuna wakati napiga chenga, nampasia kwa wife! Wife akiirudisha namwambie twende Google haya mambo nishayasahau!!
  6. A

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Ipo. Mama yangu mzazi alizaliwa September 25, 1941 na kufariki September 25, 2007. Alikaa hospital akipata matibabu kwa siku 59. Siku ya birthday day tulimwimbia akiwa kitandani na kumwekea maua na kadi za kumpongeza. Tulipoondoka tu, akafariki. Tukarudi kulia, wakati dakika chache tulifurahi...
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Waarabu na Wahindi wao huwa hawapendi kuwa na mahusiano na Wafanyakazi wao Dukani au Ofisini, ila kwa Waafrika ni jambo la kawaida sana?

    Huu uzoefu ni wa wapi? Ni huko arabuni na uhindini(Bara Asia) au kwa hapa Bongo? Kama ni kwa hapa Bongo, je una hakika wakiwa huko kwao hali ndiyo hii hii? Kuna kisa kimoja cha miaka mingi, familia moja ya ki-baniani(tuliwaita Mabaniani), walisema kwao wamekatazwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Wazo ni zuri na hata humu wapo walioshauri. Issue ni kupata hiyo gari wakati unapoihitaji. Mfano, mwezi ujao mwishoni nitakapopata hiyo pesa, sijui kama itatokea nikapata gari inayouzwa itakayoendana na bajeti yangu. Na mm sintataka kukaa na hiyo pesa kwa muda mrefu, yaweza tokea mengine...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Ahsante boss Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
  10. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kukutana naye kimwili amebadilika sana

    Yale aliyokuwa anayasikia kwa rafiki yake, hakuyakuta!
  11. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Mzee itabidi October nikutafute kama una connection kwa watu wakuaminika utanipa.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Duh! Ahsante Boss. Hapa nimepata elimu ya kutosha, mambo mengi nimejifunza mengine hata sikuwa nahisi kama yapo kwenye magari. Japo na mm nimehamia kwangu ni nje ya mji, lkn naweza kuliinua kama ulivyoshauri. Ahsante.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Maneno ya kutia moyo. Nimeanza kutafuta kama wiki tatu zilizopita, na pesa naitegemea mwishoni mwa Oktoba. Kwa wiki hizo tatu, nilizunguuka yard na websites za wauzaji, ndio nikaishia kwa sienta na porte. Sasa naufanyia kazi ushauri niliopewa humu, naweza kupata gari nyingine nzuri.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Bajeti ya 9M nitaimudu. Lkn kwa maelezo yako, kama nimekuelewa, hiyo gari naweza kuipata nje ya show room. Hapa sasa upate dalali wanaomuogopa Mungu, vinginevyo!! Na unahisi hicho kiasi kinaweza kucover malipo yote na kuimiliki au nitegemee costs nyingine?
  15. A

    JamiiForums Tanzania Magari: Toyota Porte na Siènta

    Nipe ushauri kaka. Unaposema rofauti na hizo za sokoni, ina maana nitafute ya kumvua mtu?
Back
Top Bottom