Umesema vizuri, ndoa ya kwanza mliforce, na hii umeona penzi.
Usisite, olewa. Ukifika mtii mumeo, penda ndugu zake.
Wanaume hatufanani, tuvumilie, utii, weka mazingira safi, akiongea onyesha kuheshimu maoni/maelekezo yake hata kama unaona ni pumba, kisha kwa kutumia hekima mueleweshe kama...