Habari,
Nashukuru nimefika mahala sasa naona matunda ya shamba langu la mifugo...
Nimefanikiwa kufuga kuku,mbuzi,ngo'mbe,kondoo na nguruwe na bata wachache.
Natumia fursa hii kuomba ushauri wenu kuhusu jina linaloweza kuleta mvuto kwenye bidhaa za shambani kwangu kwani sasa nimeanza kufikiria...