Nipo naagalia ITV kama kawaida yangu ili niweze kupata habari, ajabu hadi sasa ni dakika ya 14 hakuna habari bali ni matangazo tu na hakuna tangazo la kucheleweshwa kwa habari.
Je, Kulikoni? Au leo hakuna habari
Wanabodi,
Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu.
Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science watakaokuwa wamepangiwa vyuo vya ufundi (Vyuo vya kati) kama MUST, DIT na ATC kuwa watasoma bure,na wale...
Sasa mbona DITSO walikanusha ,japo umri umeenda sio kigezo cha kuacha kuomba kwa sababu tatizo la ajira serikali inalijua hivyo mimi wa miaka 30+ nitaomba tu
Nimejisajili ,ila changamoto sioni pa ku-attach certificate na hata ukijaribu kuomba inakurudisha home page yao ya kujaza detail zako .
Sasa sijui nakosea wapi, naombeni mnisadie
Ikumbukwe sasa hivi manunuzi yote serikalini yamesimama kwa sababu ya mafungu kuisha hivyo kupelekea kusubiria hadi mwaka wa fedha wa unaokuja.
Na mwaka wa fedha wa serikali ni kuanzia mwezi wa saba pale bajeti kuu itakapokuwa imepitishwa .
Sasa swali langu ni hili ,hii bajeti inayojadiliwa...
Daaah sasa tumechoka na sababu zao ,umeme ukiolsekana utasikia vyanzo vya maji vimepungua, maji yakiongezeka ndio tunasikia kufumua grid na grid ikikamilika tunarudi tena kupungua kwa maji kutokana na tope kujaa kwenye mabwawa .
Yaani tumechoka sasa sijui ni lini hivi vyote vikawa stable
Sent...
Ni kwa nini viongozi si wakweli na wanatudanganya ili iweje? Hakuna sehemu hata moja nimewahi kusikia kuna mabehewa 22 yananunuliwa kwa ajili ya MGR sasa hii tenda ya haya 22 yametoka wapi? Na mbona mlisema ni ya SGR tena safari ya ndefu ,hapa hawakujipanga vizuri kusema uongo.
Eti ununue behewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.