Umesoma vizuri kichwa cha habari ,isue sio kutumiwa link ,isue kubwa ni profile ya anaekutumia hio link anaweza kuwa rafiki au ndugu yako alafu yeye mwenyewe akawa hana habari ,na hata akijua anashindwa kuingia kwenye account yake maana inakuwa tayari imechukuliwa. Ndio maana naomba TCRA...
Sababu sio kufungua link naona hujanielewa .Kwa mfano mimi najua ni matapeli baada ya tu ya kusoma posta yao,ila kile kilichonisukuma nije nitoe huu uzi ni kwa sababu wanatumia account za watu kueneza utapeli wao.
Usije kushangaa utakuta account ya rafiki yako imetumika kufanya utapeli au hata...
Kama sio mhanga wa hii kadhia basi moja wa ndugu au rafiki yako atakuwa amekutana nayo .Kumekuwa na utapeli unaoshika kasi hasa mtandao wa facebook .
Matapeli wanaweza kuingia kwenye account yako facebook kisha wanapost kuwa umejishindia promotion .Na walivyo wajinga wanaenda sehemu ya comment...
Habari za asubuhi wanabodi.Ngoja niende moja kwa moja kwenye hoja kama inavyojieleza hapo juu.
Siku za karibuni kumekuwa na kadhia ya mashambulizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook.Nimeshuhudia baadhi ya marafiki zangu wakiwa wahanga wa kadhia hio.
Wanadukua account kisha wanaposti kuwa umepata...
Nipo naagalia ITV kama kawaida yangu ili niweze kupata habari, ajabu hadi sasa ni dakika ya 14 hakuna habari bali ni matangazo tu na hakuna tangazo la kucheleweshwa kwa habari.
Je, Kulikoni? Au leo hakuna habari
Wanabodi,
Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu.
Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science watakaokuwa wamepangiwa vyuo vya ufundi (Vyuo vya kati) kama MUST, DIT na ATC kuwa watasoma bure,na wale...
Sasa mbona DITSO walikanusha ,japo umri umeenda sio kigezo cha kuacha kuomba kwa sababu tatizo la ajira serikali inalijua hivyo mimi wa miaka 30+ nitaomba tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.