Recent content by ASIE NA MAKUU

  1. A

    JamiiForums Tanzania TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

    Umesoma vizuri kichwa cha habari ,isue sio kutumiwa link ,isue kubwa ni profile ya anaekutumia hio link anaweza kuwa rafiki au ndugu yako alafu yeye mwenyewe akawa hana habari ,na hata akijua anashindwa kuingia kwenye account yake maana inakuwa tayari imechukuliwa. Ndio maana naomba TCRA...
  2. A

    JamiiForums Tanzania TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

    Sababu sio kufungua link naona hujanielewa .Kwa mfano mimi najua ni matapeli baada ya tu ya kusoma posta yao,ila kile kilichonisukuma nije nitoe huu uzi ni kwa sababu wanatumia account za watu kueneza utapeli wao. Usije kushangaa utakuta account ya rafiki yako imetumika kufanya utapeli au hata...
  3. A

    JamiiForums Tanzania TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

    Nimeweka picha ya ushahidi hapo, na ninafanya hivi kuwasaidia wengi ambao hawajui huu mchezo mchafu unaofanywa na hili genge
  4. A

    JamiiForums Tanzania TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

    Kama sio mhanga wa hii kadhia basi moja wa ndugu au rafiki yako atakuwa amekutana nayo .Kumekuwa na utapeli unaoshika kasi hasa mtandao wa facebook . Matapeli wanaweza kuingia kwenye account yako facebook kisha wanapost kuwa umejishindia promotion .Na walivyo wajinga wanaenda sehemu ya comment...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Biblia Mwanzo 4: Kwa nini Kaini baada ya kumuua Abel, aliogopa watu wengine watamuua, hao watu ni kina nani?

    Profile picha yako ina utata ,kwanza tuanzie hapo
  6. A

    JamiiForums Tanzania Matapeli katika mitandao ya kijamii kwa kudukua account

    Habari za asubuhi wanabodi.Ngoja niende moja kwa moja kwenye hoja kama inavyojieleza hapo juu. Siku za karibuni kumekuwa na kadhia ya mashambulizi ya mtandao wa kijamii wa Facebook.Nimeshuhudia baadhi ya marafiki zangu wakiwa wahanga wa kadhia hio. Wanadukua account kisha wanaposti kuwa umepata...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kulikoni hadi sasa ITV hakuna habari?

    Imeanza dakika ya 15 na kama umefuatilia vizuri wameomba radhi kwa kuchelewa
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kulikoni hadi sasa ITV hakuna habari?

    Nipo naagalia ITV kama kawaida yangu ili niweze kupata habari, ajabu hadi sasa ni dakika ya 14 hakuna habari bali ni matangazo tu na hakuna tangazo la kucheleweshwa kwa habari. Je, Kulikoni? Au leo hakuna habari
  9. A

    JamiiForums Tanzania Wanaoomba mkopo kwa sasa ni wanafunzi wa elimu ya juu tu au hata wa vyuo vya kati?

    Wanabodi, Nimekuja kwenu nikiwa naomba kufahamishwa kama kichwa cha habari kinavyojieza hapo juu. Nakumbuka katika bajeti hii ya 23/24 ilitoa kipaumbele kwa wanafunzi wa mchepuo wa Science watakaokuwa wamepangiwa vyuo vya ufundi (Vyuo vya kati) kama MUST, DIT na ATC kuwa watasoma bure,na wale...
  10. A

    JamiiForums Tanzania China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

    R&D ndio nini? Fafanua
  11. A

    JamiiForums Tanzania Tozo miamala ya simu hazijafutwa, tuache upotoshaji

    Ni kweli nimetoa leo tigo pesa nimekatwa makato ya tozo
  12. A

    JamiiForums Tanzania Endapo Yanga watafungwa na Azam katika fainali FA. Simba watadondokea moja kwa moja kombe la shirikisho Afrika

    Kama Rs Berkane alishinda kombe la shirikisho msimu uliopita na msimu huu kacheza shirikisho CAF .Je! CAF na Azam federetion ni ipi yenye hadhi
  13. A

    JamiiForums Tanzania Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Sasa mbona DITSO walikanusha ,japo umri umeenda sio kigezo cha kuacha kuomba kwa sababu tatizo la ajira serikali inalijua hivyo mimi wa miaka 30+ nitaomba tu
  14. A

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Ahaaa kumbe
  15. A

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Kila kitu kutokana na maelekezo yao nimefanya ,kama wewe utakuwa umefanikiwa nisaidie tafadhali
Back
Top Bottom