Recent content by Ashchanga

  1. A

    Social Media reactions as President Magufuli sacks his Minister

    Mwanamke akiolewa nguvu ya kufanya kazi inapungua, after ol co lazma kuolewa, hapangiwi na mtu kuolewa anaamua mwnyewe
  2. A

    Baada ya kashfa ya Bashite, Radio Clouds nayo itamuaibisha rais

    Tuweni na huruma jmn sheria ichukue mkondo wake km ni kweli, tusimseme sana inatoshaaaaaa" ukiona kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea" let's focus forward tuangalie pia namna ya kujikomboa na ugumu huu wa maisha, najaribu kuwaza kwa sauti tu!
  3. A

    Bodi ya Mikopo (HESLB) imeanza rasmi kukata 15% kwenye mshahara

    Kama mnataka mali , mtaipata shambani...... Nmekumbuka mbali sana
  4. A

    Msaada namna ya kutoa mimba bila kupata madhara kiafya

    Ulijikwaa ukaipata? Kama sivyo lea mimba
  5. A

    Sakata la Lema na USHAHIDI wa Vodacom (kamaa tadinu tudana)

    You are fighting the wrong enemy, kwanini yy atume msg ambazo znamletea matatizo? Pili, hta km ingekua ni mtandao gani wangetoa tu huo ushahidi, nyie wenye uchungu msitumie Voda ushangae ht lema mwenyewe anaendelea kutumia, wabongo bn hahahahahahaaaaaaa harusi si yako unaivalia shela
  6. A

    Chemsha bongo ukipata nakutumia pesa ya bando

    Mlinz halali bana na kama analala basi kazi haimfai ni jipu
  7. A

    MSIBA: Nimefiwa na Mama yangu mzazi

    Pole sana, Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
  8. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Yote kher maana huyo utakaeishi nae hatotoa rubber milele
  9. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Halafu kisichoridhiki hakiliki nyie nyie fresh mna watoto tena wakubwa hatuwacemi ila mnajidai eti ctaki aliyezaa mmmmmh jpangeni maana nyie wenyewe ni baba sehemu flani kisa tu hambebi mimba na la sivyo mmeloweka saaaaaana
  10. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Ni mtazamo wako tu, Ndo maana tunaamini kuwa kila ki2 kinapangwa na Mungu so kama mtu kazaa kabla ya ndoa na kapata mme mwingine it doesn't matter whether mme ni bikra au la, ujue kuwa aliyepangiwa kumuoa ndo huyo alofunga nae ndpa
  11. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  12. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] tatizo harusi kuuuubwa ndoa inakuwa zero sasa hapo ndo mtajua kwann wengine wanakimbilia waliozaa
  13. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Waoaji wenyewe wapo siku izi basiiii?
  14. A

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
Back
Top Bottom