Poa tu.hamna namnaWaziri mkuu mstaafu mh. Pinda amefiwa na baba yake mzazi mzee Xavery Mizengo Pinda kilichotokea siku ya leo saa 9:30 alasiri hospitali ya mkoa Dodoma.
Mzee Pinda amefariki akiwa na umri aa miaka 90.
View attachment 440389
On behalf of my self and of the people of jamiiforum , we need to give out our deepest sympathies for the family of our retired PM
Mwanaume unafatilia maisha ya mtu asiyekuhusu unatatizo wewe unaacha kuangalia wadogo zakoWewe hakuna binadamu asiye na stress kwenye dunia hii hata kama anakula mana na asali ,usitake kujifanya msemaji wa Jumaa
Halafu ulichokiona hapo ni hilo la Mwanae ku disco ? Vipi maono ya Lema hayampi Stress ?