Asante exaud kwa ushauri japo mimi si mgeni sana.Nilijiunga hapa mwanzoni mwa mwaka huu lakini nikajikuta nabanwa sana na masomo mahali fulani.nikashindwa kuendelea hapa.Pia nikapoteza password mara kwa mara.
Sasa Mungu amenisaidia nimeshavaa JOHO la taaluma, kwa hiyo nitakuwa hapa jamii mara...
Wapenzi wana jamii,
Mimi binafsi sielewi kabisa dhana hii ya amani.
watu huzungumzia amani lakini sijui uwepo wa amani unapimwaje.
Kwa mfano kisiasa mataifa mengi husema Nchi ya Tanzania ni nchi ya amani.
Hivi kipimo cha amani ni kipi?
Je amani sii kitu ambacho kiko ndani ya moyo wa mtu?Amani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.