Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,488
- 79
kuna mwanamama anajisikia vibaya kwani 'mshindo' haujui ukoje....anasema yeye hajawahi kufika huko wanakofika wengine...Ameolewa, ana watoto wa wawili na yupo katika ndoa takribani miaka kumi sasa, kitu kinachommnyima raha ni kutofika 'kileleni'...Je, afanyeje ili na yeye aweze kufika huko?