tatizo mnapenda kutukana matusi yasiyokuwa na kichwa wala miguu ndo usomi au hasira zisizokuwa na maana tunauliza kujua kwa sababu pinda kasema lake kama mtu unadata zaidi ya pinda ili wananchi waelewe si unatoa kuliko mtu mzima
kutoa maneno machafu.dah! Kazi ipo ok endeleeni kutukana wenye...
bora useme maana na mimi imenichanganya kidogo ina maana hapa bongo hakuna uhuru wa kujieza kwa jinsi wewe unavyoona kwanini mtu aseme aonavyo yeyeawe mbaya
kama wajinga tu kuna mambo ya maana ya kufanya mnayaacha mnakalia kupoteza pesa kwa kuzunguka na kutafuta maoni ya vazi ambalo halitavalika kwanini hizo pesa msiwape madktari wakarudi kazini.
sawa mtawachanganyia madesa ndugu Zetu watakufa na wewe ndugu yako atafanyiwa hivyo hivyo na daktari mwingine ubabe hausaidii kawaita mmegoma kaeni myazungumze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.