Swali, inamaana kwa sekondari hakuna upungufu wall walimu wa arts??? Na je kinamna hiyo hizo ajira zitakuwepo kwa idadi ileile aliyoitaja kairuki au itapungua kulingana na hao wa kozi nyingine za sayansi watakaoajiriwa kufundisha ??
Hawa majamaa mi hata siwaelewi. Watu wameshindwa kufanya shughuli zao binafsi wakiamin kesho zitatoka. Dah yani toka mwezi januari hadi leo tunanusa wa sita. Ngoja tuone mwisho wake utakuaje
Nina mdogo wangu wa kike ame-reseat mwaka jana na amepata division four ya 31 km ifuatavyo: HIST-D, KISW-D, ENG-D, LIT IN ENG-D, GEO-F, CIV-F NA MATH-F. Mwaka jana alipokuwa mtahiniwa wa shule alizungusha yaani alipata division zero. Naomba mnisaidie ni koz gan nzuri ya kusoma kwa ngazi ya cheti...
Hazina kazi tena na ndo maana zina kikomo cha muda wa kutumika. Havitolewi vyeti moja kwa moja ili kwa wale watakao-appeal matokeo yao na matokeo yakabadilika bas cheti kikitengenezwa kiwe na matokeo yanayomridhisha mtahiniwa bila kuwa na malalamiko
The atmosphere has four layers (troposphere, stratosphere, mesosphere and thermosphere). Why at the troposphere there is environmental lapse rate while at stratosphere there is temperature inversion??
Embu wana-jf naomba tujenge hoja,hivi ni kweli walimu wa masomo ya sanaa wanatosheleza kwa sasa kiasi cha kutoajiri walimu hao?? Mashaka yanakuja uko maeneo ya vijijini ambapo tunaambiwa unaweza kukuta shule ina walimu wa5, je hao wote ndo huwa wa sanaa au vp?? Embu tujuzane ukweli ni upi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.