Nina mdogo wangu wa kike ame-reseat mwaka jana na amepata division four ya 31 km ifuatavyo: HIST-D, KISW-D, ENG-D, LIT IN ENG-D, GEO-F, CIV-F NA MATH-F. Mwaka jana alipokuwa mtahiniwa wa shule alizungusha yaani alipata division zero. Naomba mnisaidie ni koz gan nzuri ya kusoma kwa ngazi ya cheti...