Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,433
- 38,401
Kwanza salaam!
Liberia.
Ethiopia.
Hizi ni nchi mbili pekee barani Africa, inasemwa hazikuguswa na UKOLONI rasmi wa mabepari.
WANAHISTORIA naomba msaada wenu, kulikoni hawa nduguze hawakuwhi kutawaliwa?
Ni kwamba wana bahati hawakutawaliwa ama ni bahati mbaya kutotawaliwa?
Waliwezaje kukwepa nguvu kubwa ya mkoloni?
Liberia.
Ethiopia.
Hizi ni nchi mbili pekee barani Africa, inasemwa hazikuguswa na UKOLONI rasmi wa mabepari.
WANAHISTORIA naomba msaada wenu, kulikoni hawa nduguze hawakuwhi kutawaliwa?
Ni kwamba wana bahati hawakutawaliwa ama ni bahati mbaya kutotawaliwa?
Waliwezaje kukwepa nguvu kubwa ya mkoloni?