Recent content by asfath mbekenga

  1. A

    Rwanda yaongoza kwa utawala bora ikifuatia Tanzania

    Kuwa mchunguzi kijana...rwanda ni sawa na mkoa mmoja au miwili ya tanzania. Bravo kwa jakaya angekuwa na nchi ndogo kama rwanda basi angekuwa kwenye top three africa...
  2. A

    Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

    Jamani mungu aijaalie wepesi familia yake.........
  3. A

    Baada ya Kagame, JK alikoroga na waEthiopia

    From what i know mto nile unamwaga maji yake ziwa victoria, whatever unavoitwa white, blue or red what matter is Nile... So nadhani Rais wa Tanzania ana mamlaka ya kujihusisa nao as long as states have mandate to ensure another states peace in İnternational system.
  4. A

    Muungano wa vyama vya siasa Tanzania 2015 vitakuwa CHADEMA, NCCR, CUF, ADC na CCK

    Maskin mpaka nawaonea huruma....hzo njama zitapangwa nyingi strategy zitaongezwa kibao ila kwa fujo zenu wapinzan hatuwap kula......mtaishia kunawa mikono.
  5. A

    Hadithi ya kusisimua- Mimba ya Jini

    mziz mkavu malizia bwana...utamu unakuja utamu unapotea lol!
  6. A

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Naomba kukukosoa rais amewatimua mawaziri watatu. Muondoe kagasheki he is a responsible leader and he know ministerial responsibility...
  7. A

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Cdhani kama ni maslahi ya taifa ndugu yangu...watu binafsi hawana matatizo matatizo yapo kwenye mfumo wa sekta yenyewe...nawaambien tena hakuna mtu ataweza kuimudu wizara ya mali asili na utalii kama alivofanya kagasheki...tutamkumbuka daima.
  8. A

    Maji ya Chupa-Uhai, Kilimanjaro etc

    Shida siyo hadhi mkuu, shida ni afya..je hzo chemical zna faida mwilini mwetu? Wote tunajua kabisa maji ni H2O ambayo ni hydrojen na oxygen sasa hzo sodium na madudu mengine ya nini....asante kwa mwanzisha mada
  9. A

    Ajali mbaya sana ikilihusisha basi la Allys: Buhongwa Mwanza

    Hii season mbaya ndugu yangu ukitaka kusafiri muweke mungu karibu yako maana ibilisi yuko chonjo...
  10. A

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Baada ya magufuli kagasheki alikuwa mchapakazi sema tu sekta aliyokuwepo ni ngumu sana yeye si wa kwanza kujihudhuru sekta hyo!
  11. A

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    Hapo ndo tunashindwa kujua kina nan ni wawajibikaji na kina nan siyo...unajua inatia hasira kweli pale unapowajibika hafu wakatokea huko watu ambao ukiwaangalia kabisa unaamini wakipewa nafasi yako hata robo hawawezi kufikisha badala wakuappreciate kwa kaz ulofanya na kukushauri ulipokosea na...
  12. A

    Kurudi kwa Lowassa?

    Jamani watanzania mi sielewi kabisa wasomi tunashindwa kutambua tatizo na kutafta mbinu za kutusaidia wenyewe tunakalia kuwalalamikia watu..wale sio malaika ni watu tu kama cc.. Hvo yatubidi badala ya kuwaponda tunawapa njia mbadala ya kufanya... Tuwe mature basi ebo!
  13. A

    Video:Siasa za Waisrael kuwabagua wafrika ndani ya Israel

    dubois alisema "huwezi kudai uhuru ndan ya nyumba ya mtu... nenda kwako ndo udai uhuru...".pole yao.
  14. A

    Mbowe lazima akubali yeye sio CHADEMA na lazima achunguzwe

    watanzania fumbukeni.. vyama havitotupeleka kokote cha maana tuangalie mtu mwenye msimamo anayeweza kuilinda Tanzania yetu bila kuiuza... hivi vyama vya siku hizi ni mbwembwe tu. na tusipokuwa makini vitatugawen makundi tuwindane kama wanyama tuisahau amani.
Back
Top Bottom