Inferiority complex kwa ujumla si hali ya woga kama ambavyo umetafsiri, kwa hapa imetumika kama ni hali ya kutojiamini kutokana na jambo lililokutokea awali hivyo kuhisi litaendelea kutokea, kwahiyo kuhusiana pombe kwahuyo wa mnyira ilikuwa inamfaa lkn kwako sijui wewe unatatizo gani kuwa wazi!
Kwa hali ya kawaida ya kihistoria kwa Lowasa kununua nunua watu wa kawaida, viongozi wa kisiasa na wakiroho si ajabu kabisa kutoa posa na baadae kulipa mahari kwako viongozi wa taasisi hizo. Lowasa tunamjua hanauwezo wa kujinadi kwa kutumia Sera tangu mwanzo yeye alianza miaka mingi akijidai...
Tatizo lako ni kwamba unampenda kupita kiasi na yeye anakuridhisha sana! Kilicho haribu ni huo mchepuko wa kwanza joogoo liliposhindwa kuwika tu ubongo ukajenga hali ya uoga( inferiority complex) pole sana sijui kama huwa unakunywa Pombe? Ningejua hilo ningalishauri tofauti! Don't give up Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.