Recent content by ARVnew

  1. A

    Car4Sale Toyota Corolla Rumion For Sale

    Mnapigwa sana Rumiom ukanunua kwa 18? Hiyo bei ya kuagiza Dualis. Mnapigwa bei huko halafu mnataka na nyie kupiga watu hapa. Kama usipompata msukuma hii gari mwisho utaiuza sio zaidi ya 15M.
  2. A

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Namlaani yule aliyesema huyu UMUGHAKA eti apewe sijui tuzo ya nini, akawapigisha na watu kura hapa. Hovyo kabisa.
  3. A

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Jamaa yenu atarudi na kiaingizio kingine. "Bodaboda yangu ilikuwa mbovu nimeshinda kwa fundi siku mbili hizi"
  4. A

    Naomba ushauri na muongozo wa ujenzi

    1. Vyumba viwili hakikisha na hesabu ya choo ipo 2. Hidden roof (Contemporary house) garama yake kubwa halafu aina hiyo ya nyumba sidhai kama inafaa kupandisha nusu nusu. 3. Kama ni nyumba ya familia vyumba 4 vya nini. Standard ni vyumba 3.
  5. A

    Huyu member anayejiita UMUGHAKA anatakiwa apewe tuzo ya utunzi wa hadithi

    Kuna story yake kule kaikimbia inaitwa utajiri wa rafiki yangu
  6. A

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Nimejisahau nikaingia hapa..kumbe alisema mpaka Jumatatu akirudi Dar.
  7. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunawafata huko kwenye ligi kuwashusha..😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
  8. A

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwa hiyo hiki ndio kikosi chake serious!!! 😆😆 Huyu kocha bhana, kwanza wachezaji wake aliowaleta wote wamefail...Anthony, Van de Beek, Malacia, Lisandro pekee ndio anaonekana mtu. Hawa kina Martial aachane nao mapema huwezi kuwa na mchezaji mvivu kiasi hiki, Rashford anapambana lenyewe...
  9. A

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Naweza kusema kocha mjinga sana huyu😡😡 Toa Anthony weka Garnacho toa Malacia weka Maguire toa Martial weka .........
  10. A

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Watu wa hovyo ndio hawa, kinachoongelewa hapa ni kupewa tuvtaarifa kuwa kutakuwa na episode moja tu siku ya Jumanne kila wiki. Sio unajificha huko watu wanaulizana na kutukanana hapa yeye yuko kimyaaaa.
  11. A

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Mkuu, naona na wewe uzalendo umekushinda. Mleta uzi ndio anasababisha yote mpaka kufikia watu kutukanana na yeye anapita tu anacheka na ku-like. Issilue sio kuleta episode mpya, issue aseme tu leo sipost kitu, basi kelele zitaishia hapo. Unaanzisha uzi halafu unashindwa kuu-manage nayo hiyo ni...
Back
Top Bottom