Kichina44
New Member
- Sep 24, 2022
- 2
- 0
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk
Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=
Mashine ipo DAR
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inaweza koboa mpunga, mahindi, n.k
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
●inasaga na chakula cha mifugo
Unaweza itumia kwa matumizi binafsi au kukodisha
Mashine ni MPYA
Inasaga na kukoboa zaidi ya kilo 300 kwa saa
Namba 0754385573
Au 0686792229
Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=
Mashine ipo DAR
●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inaweza koboa mpunga, mahindi, n.k
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
●inasaga na chakula cha mifugo
Unaweza itumia kwa matumizi binafsi au kukodisha
Mashine ni MPYA
Inasaga na kukoboa zaidi ya kilo 300 kwa saa
Namba 0754385573
Au 0686792229