INAUZWA Mashine ndogo ya kusaga na kukoboa (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu

Kichina44

New Member
Sep 24, 2022
2
0
MASHINE NDOGO YA KUSAGA NA KUKOBOA (2 in 1) mahindi, mpunga, viungo vikavu nk

Mashine MPYA
Bei 1,500,000/=

Mashine ipo DAR

●Mashine ina pande mbili, upande mmoja ni wa kusaga na upande wa pili ni wa kukoboa.
●Inaweza koboa mpunga, mahindi, n.k
●Inaweza saga mahindi, mchele, manjano, kahawa, mtama n.k
Inatumia umeme wa kawaida wa majumbani
●inasaga na chakula cha mifugo

Unaweza itumia kwa matumizi binafsi au kukodisha

Mashine ni MPYA

Inasaga na kukoboa zaidi ya kilo 300 kwa saa

Namba 0754385573
Au 0686792229

20220618_123347.png
928373538.png
 
Back
Top Bottom