Siku utakapomkuta Dereva wa Serikali ameegesha gari kwenye eneo la starehe kwa muda ambao unakatazwa nakushauri jiridhishe kwa nini yupo maeneo hayo kwa wakati huo naamini utapata jibu zuri la swali lako.Pia ni vizuri ukafahamu kwamba baadhi ya Watumishi wa Umma wanawajibika kufutilia sehemu za...
Sikushauri uingie kwenye biashara kwa sasa .Jiendeleze kati ya maeneo yafuatayo kama una lengo la kuwa recategorized.Uandishi wa habari,Uhasibu au Mipango.
Article.
Hii hoja ya CAG inafikirisha!Labda kuna ushauri mzuri ameutoa kwa Serikali wa namna ya kurekebisha mapungufu aliyoyabaini kwenye suala la Wastaafu kufaidi huduma ya Bima ya afya bila malipo.Tusubiri majibu ya Serikali.
Nawasilisha,
Article.
Wanaofuatilia na wenye uelewa wa kina wa namna ambavyo sayansi na technologia inavyokwenda kwa kasi kwa sasa wana hofu juu ya uwezo wa AI. Wewe bado upo kwenye historia za mwaka 1950.
Jitafakari,
Article.
Kila Jambo linakuwa na nukta ya kuanzia.Naamini wamefanya tathmini ya kina na kuona kwamba sasa ni wakati sahihi kwenda hewani.Changamoto zilizojitokeza naamini wahusika watazifanyia kazi.
Tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu wenye lengo la kuongeza ufanisi wa kushughulikia masuala ya kiutumishi kwa...
Wazo lako ni zuri.Hata hivyo, Sidhani kama linatekelezeka katika mazingira ya nchi yetu kwa kuwa ni mikoa michache tu ambayo ina vyanzo vya umeme vinavyojitegemea vyenye uwezo wa kukidhi mahitaji ya nishati ya Umeme kwenye mikoa husika.
Mikoa mingi ni tegemezi kwa mikoa mingine kwenye vyanzo...
Sifahamu walikuwa wanatumia aina gani ya Kamera au angle ambayo kamera husika ilikuwa inachukua live coverage ya mechi hii.Ukweli ni kwamba "live coverage" ya mechi ya Simba dhidi ya Kagera Sugar ni moja kati ya "live coverage" za hovyo. Nimelazimika kuingalia hii mechi kupitia Azam kwa kuwa...
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liability kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani...
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liability kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani...
Uchambuzi wa kina wa Taarifa zao za fedha za mwisho(Statement of Comprehensive Income,Statement of financial Position,Statement of changes in Net worth/Assets na Statement of Cash flows) za hivi karibuni unahitajika ili kufikia hitimisho sahihi la ni ipi Benki kubwa kwenye orodha iliyopo kwenye...
Paskali .Ongera kwa kuleta thread ovyo kuliko zote miongoni mwa thread zako ovyo ambazo uliwahi kuleta humu ndani na nje ya humu.
Leo nakukosoa kwa ukali hili ujue kwamba si kila unaloliandika humu ndani linasomwa na ignorant folks na silly empty headed little Kids .Mada zako nyingi za ovyo...
Kuwa na amani mama.Huo ni ugonjwa wa kulisi na wakawaida.Sina hakika kama una tiba lakini haumfanyi mgonjwa kushindwa kutimiza ndoto zake, cha msingi ni kufuata masharti ya madaktari.Nina ndugu zangu wa karibu ambao ni watu wazima kwa sasa na wametimiza ndoto zao licha ya kuwa kama mwanao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.