Recent content by article

  1. article

    Umri wa Humphrey Polepole

    Sio kweli 100%. Sio kweli Humphrey hana elimu ya Kuunga unga ni miongoni mwa watu waliokuwa smart sana wakati anasoma.Mark my words sisemi kwa uchawa.
  2. article

    Umri wa Humphrey Polepole

    Sio kweli 100%. Sio kweli 100%
  3. article

    SWALI KWA DEEP SEEK:Serikali inaweza kupata madhara gani ikifunga Kanisa ikiwa kisheria inakubalika?

    JIBU LA DEEP SEEK:Kufunga Kanisa kisheria kunaweza kuleta madhara kadhaa kwa serikali, hasa ikiwa hatua hiyo inapingwa na sehemu kubwa ya wananchi au inaonekana kukiuka haki za kimsingi za kidini. Kwa kuzingatia mazingira ya kisiasa, kijamii, na kiuchumi, baadhi ya madhara yanayoweza kutokea ni...
  4. article

    PreGE2025 Naona safari ya Askofu Gwajima kurudi CHADEMA 2025

    Bravo!, It's highly probable that numerous events beyond imaginations may unfold in the near future .It's just the matter of time .We can't wait for the disclosures.
  5. article

    Kanisa Katoliki lapata Papa mpya wa 267, ni Robert Francis Prevost kutoka Marekani, ataitwa Papa Leo XIV

    Wanabodi, Kuwa watu hapa Duniani wana maono au inteligensia ambayo ni very controversial.Pictures reveals:
  6. article

    PreGE2025 Hizi hapa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi za Mwaka 2025

    1. NAOMBA KUULIZA,HIVI HIZI KANUNI ZIMESHAANZA KUTUMIKA RASMI? NIMESOMA HAPA SIJAELEWA!!!, NIKIREJEA TANGAZO LA MWENYEKITI KUHUSU CHAMA FULANI!!! "1.3 Muda wa Kutumika kwa Kanuni za Maadili (Effective Application date) Kanuni hizi za Maadili zitatumika katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025...
  7. article

    Ipi ni mechi yako bora ya soka?

    1. Fainali ya UEFA Champions League kati ya Manchester United na Bayern Munich iliyochezwa kwenye Dimba la Camp Nou huko Barcelona, Uhispania, tarehe 26 Mei 1999, Mabao ya dakika za majeruhi kutoka kwa Teddy Sheringham na Ole Gunnar Solskjær yalifutilia mbali bao la mapema la Mario Basler...
  8. article

    Vituo vya kijeshi nchi za nje na ndege za kizazi cha 5 na 6

    Hj Mleta uzi,hivyo vigezo vyako hivina mashiko.Ubora wa Jeshi la nchi yeyote unapimwa kwa uwezo wake wa kuhakikisha mipaka ya nchi yake inakuwa salama wakati wote kwa namna yeyoye ile na kuhakikisha amani na utulivu ndani ya mipaka ya nchi.Ndio maana JWTZ inakuwa rated kati ya majeshi bora...
  9. article

    Sherehe za Uhuru hazipaswi Kufutwa. siku ya Uhuru ndio msingi Mkuu wa Taifa

    Robert ongera sana tena sana kwa Andiko zuri sana ambalo limeandikwa kwa akili nyingi sana. Wafanya maamuzi wakilitumia kama rejea andiko lako kwenye Siku Kuu ya Uhuru wa Nchi yetu kila mwaka naamini matokeo yake yatavuka maoteo kwa asilimia za kushangaza. Aidha,Amani,Upendo na Mshikamano...
  10. article

    Mashujaa 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika | 1 November, 2024

    Inashangaza na kusikitisha mtu anaanzisha uzi wa live football match halafu hatoi updates zozote za maana wakati game inaendelea zaidi ya Goli.Ovyo kabisa.
  11. article

    Animation movies kali kuwahi kutokea

    List imetulia.Usisahau kuangalia Migration na Scoob.
  12. article

    Yanga yazindua jezi zake leo 27/07/2024

    Kwa ninj Mimi ni yanga .Hii mijezi ya ovyo.Ubunifu umekosekana .Kwa nini jezi inakuwa na michoro kibao isiyo eleweka?.Rangi za club zinafahamika hizi rangi nyingine zinatoka wapi?Namba tano kwenye Jezi ya Nini?Kama uyo mbunifu kazi imemshinda aachie ngazi.Nitanunua jezi kwa kuwa ni ya Timu...
  13. article

    Yanga haikustahili kupata hasara ya bilioni kwenye msimu ulionipita

    Habari, Kwanza, naipongeza klabu ya Young Africans kwa mafanikio makubwa waliyoyapata katika msimu uliopita kwa kuwa mabingwa wa NBC Premier Legue ,CRDB FEDEREATION CUP na kufika hatua ya robo fainali ya klabu bingwa Africa. Pili, nawapongeza kwa makusanyo makubwa ya fedha waliyoyapata katika...
  14. article

    Sijui ni Chuo gani hicho kilikupa hiyo CPA yako, kwani una Mapungufu mengi ila una bahati Mzee wa Msoga na Mwanae wanakubeba kwa Awamu hii ya Mama

    Genta,Kuanzia lini vyuo vimeanza ku offer CPA!!!????,Sina updates!!!, NBAA wanabana sana kama siyo kichwa utoboi CPA. Genta,Kuanzia lini vyuo vimeanza ku offer CPA!!!????,Sina updates!!!, NBAA wanabana sana kama siyo kichwa utoboi CPA.
Back
Top Bottom