Recent content by article

  1. article

    Huyu aliyeelekeza magari ya serikali kupaki saa kumi na mbili ana maana gani?

    Siku utakapomkuta Dereva wa Serikali ameegesha gari kwenye eneo la starehe kwa muda ambao unakatazwa nakushauri jiridhishe kwa nini yupo maeneo hayo kwa wakati huo naamini utapata jibu zuri la swali lako.Pia ni vizuri ukafahamu kwamba baadhi ya Watumishi wa Umma wanawajibika kufutilia sehemu za...
  2. article

    Nikasome degree nyingine au nifungue biashara?

    Sikushauri uingie kwenye biashara kwa sasa .Jiendeleze kati ya maeneo yafuatayo kama una lengo la kuwa recategorized.Uandishi wa habari,Uhasibu au Mipango. Article.
  3. article

    Sijamuelewa CAG, kwamba anataka wastaafu wachangie bima ya afya? Hizi ni akili za wapi? Tukatae Kwa Sauti

    Hii hoja ya CAG inafikirisha!Labda kuna ushauri mzuri ameutoa kwa Serikali wa namna ya kurekebisha mapungufu aliyoyabaini kwenye suala la Wastaafu kufaidi huduma ya Bima ya afya bila malipo.Tusubiri majibu ya Serikali. Nawasilisha, Article.
  4. article

    Artificial Intelligence ni ulaghai

    Wanaofuatilia na wenye uelewa wa kina wa namna ambavyo sayansi na technologia inavyokwenda kwa kasi kwa sasa wana hofu juu ya uwezo wa AI. Wewe bado upo kwenye historia za mwaka 1950. Jitafakari, Article.
  5. article

    Huyu jamaa Maraues Brownlee anajua sana upande wa Tech

    Nakubali,Anajua.Kitambo yupo kwenye tech game .
  6. article

    Mfumo wa PEPMIS, Utumishi mmekurupuka kuuleta

    Kila Jambo linakuwa na nukta ya kuanzia.Naamini wamefanya tathmini ya kina na kuona kwamba sasa ni wakati sahihi kwenda hewani.Changamoto zilizojitokeza naamini wahusika watazifanyia kazi. Tuwapongeze wenzetu kwa ubunifu wenye lengo la kuongeza ufanisi wa kushughulikia masuala ya kiutumishi kwa...
  7. article

    Lawama zote za umeme ziwaendee Kitila Mkumbo na Nehemiah Mchechu

    Wazo lako ni zuri.Hata hivyo, Sidhani kama linatekelezeka katika mazingira ya nchi yetu kwa kuwa ni mikoa michache tu ambayo ina vyanzo vya umeme vinavyojitegemea vyenye uwezo wa kukidhi mahitaji ya nishati ya Umeme kwenye mikoa husika. Mikoa mingi ni tegemezi kwa mikoa mingine kwenye vyanzo...
  8. article

    AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

    Sifahamu walikuwa wanatumia aina gani ya Kamera au angle ambayo kamera husika ilikuwa inachukua live coverage ya mechi hii.Ukweli ni kwamba "live coverage" ya mechi ya Simba dhidi ya Kagera Sugar ni moja kati ya "live coverage" za hovyo. Nimelazimika kuingalia hii mechi kupitia Azam kwa kuwa...
  9. article

    FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

    Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liability kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani...
  10. article

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni Asset na siyo Liability kwa Young Africans , Thamani yake ilikuwa ni zaidi ya millioni 400 wakati wa Ununuzi wake .Kifupi Yanga wameingiza faida ya zaidi ya milioni 400 ikiwa ongezeko (Gain) la thamani...
  11. article

    Benki ya CRDB yaipiku NMB na kuwa Benki kubwa zaidi Tanzania

    Uchambuzi wa kina wa Taarifa zao za fedha za mwisho(Statement of Comprehensive Income,Statement of financial Position,Statement of changes in Net worth/Assets na Statement of Cash flows) za hivi karibuni unahitajika ili kufikia hitimisho sahihi la ni ipi Benki kubwa kwenye orodha iliyopo kwenye...
  12. article

    Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

    Paskali .Ongera kwa kuleta thread ovyo kuliko zote miongoni mwa thread zako ovyo ambazo uliwahi kuleta humu ndani na nje ya humu. Leo nakukosoa kwa ukali hili ujue kwamba si kila unaloliandika humu ndani linasomwa na ignorant folks na silly empty headed little Kids .Mada zako nyingi za ovyo...
  13. article

    Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

    Kuwa na amani mama.Huo ni ugonjwa wa kulisi na wakawaida.Sina hakika kama una tiba lakini haumfanyi mgonjwa kushindwa kutimiza ndoto zake, cha msingi ni kufuata masharti ya madaktari.Nina ndugu zangu wa karibu ambao ni watu wazima kwa sasa na wametimiza ndoto zao licha ya kuwa kama mwanao.
  14. article

    Padre Kitima: Kanisa Katoliki ni Taasisi kubwa yenye kila mizizi hadi ngazi ya kaya na hatubahatishi

    Failure is not an option and they know it. Article.
Back
Top Bottom