Wanashiriki je anaeshinda ndo anaetangazwa ? Pia wao ccm kampeni wanafanya mwaka mzima na wenzao UKAWA wanafanya kampeni mwezi mmoja tu watawezaje kushinda ? !UKAWA wanapambana na ccm,polis na mahakama je watashinda ! But Time will tel
Huwezi pambana na mtu aliekufunga mikono na kukuziba macho huwezi shinda ccm endeleeni kushindana na kivuli mtashinda kila kiti hata njaa mtashinda tu ! ccm oyeee !!
Wananchi wenzangu wa Siha toeni adhabu kali kwa huyu Mollel msimpe kura tena kwani aliwaacha na njaa akakimbilia kwenye shibe hawapendi huyu mtu kabisa nankama angewapenda angewatete ila nawaamini watu wa Kaskazini sana sio wa kudanganyika hasa wa Siha pigeni chini huyu kibaraka chukueni elfu 7...
Kuna mtangazaji mmoja kule Arusha Triple A anaitwa Masai yaani ukisikia anajadili au anaendesha kipindi na mwenzie yeye ni kudandia mazungumzo ya mwenzie ili aongee yeye tu anakera sana hadi unahamisha station hampi mwenzie nafasi nae aongee anajiona ndio oxygen ya Triple A ! Aache ushamba wa...
Wana jf wenzangu naomba mnisaidie kupata sehemu au maeneo gani ya kuweka huduma za afya ? Nataka sehemu zenye sifa zifuatazo ,nyumba iwe inafikika kwa gari , nyumba iwe na vyumba visivyopungua kumi , isiwe karibu na bar na zahanati ingine jirani , isiwe inawapangaji wengine ndani nk
Mbona wataondoka wengi ccm ni wakati tu haujafika ngoja wachote kwanza hela wabunge wa ccm sio wote wanashabikia ndio mzee kama huyu kihiyo nkamia wapo waelewa tungoje muda tu . Mi nawafahamu kama wabunge 15 wataondoka itakuwa ni anguko la massisiem ! Wao wanawanunua madiwani UKAWA wanachukua...
Tehe tehee halafu unakutana na mwanamke unavyoingiza anafurahia sana na anakupa ushirikiano baada ya muda anakwambia ingiza yoootee sasa unamuuliza niitoe wapi ndo hiyo hiyo niliyonayo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hata mi ni mkatoliki wa kuzaliwa ,kubatizwa na ndoa lakini kitendo cha pengo kimenifedhehesha sana ina maana anafurahia jinsi nchi inavyoenda ? Mauaji ,utekaji na uvunjifu wa katiba haoni ? Bora angekaa kimya kuliko anavyojibu jibu Au ule mgao wa escrow ndo unamfanya ajiTIE yupo karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.