Recent content by aroon dismon

  1. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Duuuuh
  2. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

  3. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Asante mkuuu wangu
  4. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Asante kaka, nmekubali nmepoteza ipo siku ntakuja na ushuhuda, kwa sasa acha nifocus na harakati za mtaan
  5. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Sawa mkuu
  6. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Ndio naamin nkipata mchongo wa ntasave, Mimi ni mwanaume lazima nipambane kutoka katika hii Hali cha kwanza nmekubali I have lost , cha pili lazima nikaze 1000×
  7. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Eee kaka
  8. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Kwa sasa nmeachana nayo kabisa , nifocus na maisha mengine, nlikua vizuri ila sahib ad najihirumia Natafuta mchongo pia mwenye anaweza nisaidia aise
  9. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Nashukuru mkuuu wangu nakuja inbox
  10. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Naomba mawasiliano kaka
  11. A

    JamiiForums Tanzania Forex inataka niua

    Habari wana jamvi, Mimi ni kijana mwenye miaka (27) nlikua vizuri tangu nmehitimu chuo nlikua natrade forex ,kwa miaka mitatu sasa , ila upepo umejigeuka nmepata hasara kubwa ,na sasa Nina tapatap yaani kiufupi sina mwelekeo isitoshe nlipanga nioe mwaka huu, Naona kama ndoto zangu zimekatika...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

  13. A

    JamiiForums Tanzania Forex ni kamari ya kimtandao: "Emmanuel Mpawe Tutuba (Governer Bank of Tanzania)"

    Mtu mwenyewe anasema hapa unakula, hii inaonesha ana mindset ya kikamalikamali Bila kufuatilia hawez just forex ikumbukwe kua na kiongozi so kujua Kila kitu, ni lazima afuatilie kwa kina ndo ajue
  14. A

    JamiiForums Tanzania INAUZWA BoxerCc 125Bei 1.3milioni Mbeya

    Write your reply... ni namba b,c,d, au e mkuu
Back
Top Bottom