hapana mkuu, iwe bima ndogo ama kubwa swala kuhesabu siti ni lazima, mfano kwahio third party kwa mabasi ya mkoani ni elfu 30 per seat then total ya seats zidisha kwa hio hela plus VAT 18% ndo kiasi anacholipa
kwa sheria ya bima ya vyombo vya moto sura 169 kifungu namba 4(1) kinatoa haki ya ulinzi kwa mtu wa tatu kutokana na ajali,
vigezo vinavyohitajika kwa abiria ili aweze kupatiwa fidia ni pamoja na
tiketi ya safari.( kama imepotea kutokana mazingira ya ajali basi ataje majina yake halisi kwa...
Habari ndugu Jf mebers, leo napenda kushare jambo ambalo wengi pengine hawalijui kuhusu fidia za bima kwa abiria wa mabasi.
Ipo hivi, kama ilivyo Sheria ya Tanzania ni lazima chombo cha moto kiwe na bima, hivyo mabasi yote hukata bima na kampuni za bima huwa wanacharge kiasi cha malipo...
Professional: insurance underwriting and marketing
Experience: 1 year
Education: bachelor degree
Location: mbezi
Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.