Leo Mwenyakiti wa Chadema kata ya Themi Arusha Arnold Ringo Wananchi wamemsimamisha kwenye matangazo ya kampeni na kumwambia hakuna haja ya kampeni kwani wananchi wa Arusha wanajua Rais ni Lowassa, mbunge ni Lema na Diwani wa Themi ni Venance Kinabo
Asante Sana Kamanda Chadema Kwanza Kesho tutakua kwenye viwanja vya Hamad karibu na nanenane njiro tutakua naviongozi wengi sana wa Chama karibuni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.