Tupo Na popcorn tunaangalia hii movie ya kanisa Na Government linaendaje
Waislam tumefunzwa kutii mamlaka wanaotokea kupinga serikal kama tunapata mahitaji yetu ya msingi hauna haja kama mauaji nyie ndo mnayaona leo kwa Magu mwembe chai na pemba mlikuwa kimyaa
Wekeni wazi pesa hakuna na...
Humu kuna watu walee wa vigenge vya kahawa nucler isikie tu, kama mnavyo sema tz hamna aman huku mnalala na boxer zenu
Hizo ni siasa mguse kiduku ambae nyuma yupo mrusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.