Stori ya Adam na Hawa(Eva) hii ni stori yakubuniwa yenye lengo la kuwabadiri watu wa mwanzo waliokuwa wanaabudu nyoka hivyo ikabidi itenhenezwe stori itakayomwonesha nyoka jinsi alivyo Mbaya
Wanajukwaa naomba kuuliza ile kwaya ilioimba wimbo wa BWANA WAMABWANA ambayo ROSTAM wametumia sehemu ya wimbo huo kama kiitikio kwenye wimbo wa Kaka Tuchati, kwaya ile inaitwaje? Au msanii anaitwaje!?
Acha bange we mtoto.
Suala la kuwaruhusu wabarikiwe mahusiano yao na kuwaombea unakosema wewe kunamahusiano gani?
Kashakosea kakosea acha kupalilia makosa huyu Mungu ikimpendeza amchukue tu
Yawezekana ikawa ndo safari yangu ya kwanza kurudi kwenye mizimu kuendelea na mambo yanayoendana na uharisia wetu wa Kiafrika
Yawezekana ikawa ndo mara yangu ya mwisho kutaja jina Mungu kupitia dini ya kikatoriki
Mwenye uelewa mpana anisaidie hivi Karuhusu watu wa jinsia moja kufunga ndoa au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.