Juzi naona Carol Ndossi anasema mwenza kushika simu ya mwenzie ni kosa kisheria hata sijui sheria yenyewe kaitoa wapi, madanga na malaya wakashangilia sana.
Btw watu wamekua sio waaminifu tena uzinzi umetawala kila kona na hawa motivation speaker kwa kutaka ku-gain followers na kupiga pesa...
Hiyo hata Magufuli alihasema lakini ilikua ni kung'ata na kupuliza.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan yuko sahihi kabisa kufuta kodi za miaka zaidi ya miwili iliyopita.
Mimi baba yangu alikua analipa kodi na risiti zilikuwepo kilichotokea mwaka juzi akaletewa deni la mil 90 la miaka 5 ilopita...
Bodi zipo za 14,000, 17000 na 25-30,000
Tofauti hapo ni kwamba kila kampuni inajinadi kuwa zao ni bora zaidi ku-resist moisture, water and fire ila mi naona kawaida tu zote.
https://instagram.com/pilot_constructions?utm_medium=copy_link
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.