Mfumo wa LUKU warejea

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema changamoto ya kushindwa kununua umeme kupitia mitandao ya simu na njia za kibenki iliyojitokeza jana June 21, 2022 imekwisha na sasa huduma tayari imerejea kwenye hali yake ya kawaida na wateja wanaweza kununua umeme kupitia njia zote.

Pia, soma=> TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU
Hii serikali siasa imetawala kila mahala, kiufupi ni kwamba mtandao wa LUKU haupatikani si tu kwenye vituo vya mawakala wao bali kila mahala hakuna huduma.
 
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema changamoto ya kushindwa kununua umeme kupitia mitandao ya simu na njia za kibenki iliyojitokeza jana June 21, 2022 imekwisha na sasa huduma tayari imerejea kwenye hali yake ya kawaida na wateja wanaweza kununua umeme kupitia njia zote.

Pia, soma=> TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU
We unaleta siasa ndugu kwenye vitu vinavyoonekana kwa macho.
Screenshot_20220624-014340_Messages.jpg
 
Kiutendaji tunachangamoto sana.. hatuko serious na mambo ya msingi. Inakera mno
 
Back
Top Bottom