Habari yenu wadau wa jamii forum..i hope kila mmoja anaendelea vizuri katika harakati zake za kila siku za kusaka mafanikio.Kuna jambo naomba kuuliza kwa yeyote ambaye atakuwa na mchango wa mawazo ntashukuru sana. Kuna biashara nafikiria kufanya, nataka nianze kununua miogo mikavu kutoka kwa...
Alipiga simu kwa kutumia namba ya office as president au alitumia namba yake binafsi?? just wewe mtoa uzi kumbuka apart from being a president naye ana maisha yake as a person..analipwa mshahara kama wafanyakazi wengine wa serikali so ni possible alinunua vocha yake binasfi na akapiga kama...
Ndugu wanajamii forum,nimechukua mda kutafakari haya matukio ya ujambazi yanayoendelea kutokea hapa nchini kwetu,tukiyachunguza kwa idadi ni matukio mengi ndani ya mda mfupi na raia kadhaa washapoteza maisha.Napenda nitoe rai kwa serikali na vyombo vya usalama vya nchi yetu kwamba kwa sasa...
Kwa kifupi tu kwa hizi siku 100 rais jpm amejitahid sana kufanya mabadiliko ktk sekta kadhaa hapa nchini.Na jambo zuri zaidi rais amesimamia vizur ukusanywaji wa mapato ya serikali na kuwawajibisha wakwepa kodi.Kwa mtazamo wangu naona ameanza na sehemu muhimu kabisa kwa maendeleo ya nchi yeyote...
Ndugu wanajamii forum..leo nilipata nafasi nikaweza kusikiliza nyimbo za hawa wasanii wawili wakubwa wa Tanzania Alikiba pamoja na Diamond.Baada ya kusikiliza nyimbo nyingi za kila mmoja toka kipindi walichoanza kujulikana kimuziki nikaja gundua kuwa Alikiba anakipaji na anajua mziki zaidi ya...
watanzania yatupasa tuuweke udini pembeni..tusichukie mafanikio ya watu fulani kisa tu ni dini fulani na wala tusijekuchochea mambo ambayo si ya kweli kisa watu wa dini fulani wanafanikiwa..kwanini tushindane kwa vitu vya kidunia wakati tunaamini fika ni vya kupita..baraza au wizara kuwa na...
Magufuli hajazuia uwekezaji bali kazuia kuwekeza katika eneo ambalo ni kwa matumizi ya public.Coco beach ni eneo ambalo kila mwananchi mwenye kipato na asiye na kipato anaweza kwenda kujipumzisha bila kulipa chochote..Kumruhusu manji awekeze pale ni sawa na kuwanyima nafasi wale ambao hawatoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.