Recent content by Arch - Forum Tz

  1. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania SoC03 Somo la kilimo lifundishwe kama somo linalojitegemea na la lazima mashuleni. [kilimo cha mazao na mifugo]

    UTANGULIZI: Elimu ni ujuzi, maarifa au utaalamu anaopata mtu kutoka kwa mtu, mashine au uzoefu kutoka katika mazingira aliyopitia. Hata hivyo elimu inaweza kuwa Rasmi au isiyo rasmi. Elimu rasmi ni aina ya elimu inayohusisha usajili wa wanafunzi na kuwaweka darasani kwaajili ya kujifunza kwa...
  2. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania SoC03 Umuhimu wa Katiba Mpya na Kasi ya Mabadiliko

    #Storyofchange2023 Mwandishi: Wa Kale Mawasiliano, Email: officialmapatotz@gmail.com Simu: +255745922142 Utangulizi: Katiba naweza kusema, ni taratibu, miongozo, kanuni na sharia zinazotumika katika utekelezaji sahihi wa majukumu mbalimbali katika maisha ya kila siku ya mwanadamu. Ikiwa...
  3. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania SoC01 Kataa na Pinga Unyanyasaji, Ubaguzi na Ukatili Wa Makundi Maalumu Katika Jamii

    Katika jamii zetu yapo makundi Mbalimbali ambayo yanakumbwa na unyanyasaji, Ubaguzi pamoja na ukatili. Licha ya kuwa wapo watu wengi ambao wankumbwa na hali hiyo ila nitajikita katika makundi maalumu. Makundi hayo yapo katika mgawanyo huu: Makundi haya kila kundi linachangamoto yake na...
  4. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Furaha Ya Maiti

    Naita furaha ya maiti kwakua sasa jamii iliyoumia na kukaa kiunyonge kwa miaka mingi inafurahia namna mpya ya maisha yasiyo ya vitisho lakini ukweli ukibaki palepale kuwa bado jeneza na kaburi ni lilelie ila sanda pekee ndiyo imebadilishwa. => Kwanini makato ya miamala yaongezeke => Kwanini...
  5. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change)

    Asante kwa fursa hii, Lakini nina wasiwasi kama mshindi atapatikana kwa kura basi siyo kwamba linataftwa andiko bora bali lenye kura nyingi. Ikumbukwe kuwa mtu anaweza kuwa na Andiko bora ila asipate kura. Nashauri, wataalamu wapitie na kuangalia ni nani kaandika andiko bora lenye kugusa...
  6. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Je, wajua? - Special Thread

  7. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchumba unatakiwa usizidi muda gani?

    🤔🤔🤔
  8. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Siku 7 Kuzimu: Hii Siyo Siasa tu bali ni Siasa inayogusa Hisia...

    kwanini. Mbona suala hili liko wazi.
  9. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Siku 7 Kuzimu: Hii Siyo Siasa tu bali ni Siasa inayogusa Hisia...

    "Sukuma Ndani" Hii kauli naikumbuka kila ninapoangalia Jinsi ambavyo Viongozi Wa Upinzani na Wanaharakati Wa Tanzania Wanavyo Sota kila Wiki ndani Ya Siku Saba (7). Utakuwa ni Mgeni wa Siasa kama Hujui kinacho wakuta Wapinzani Nchini Tanzania. Kinachoniuma ni hii ya "Siku Saba Kuzimu"...
  10. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchumba unatakiwa usizidi muda gani?

    Sawa
  11. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchumba unatakiwa usizidi muda gani?

    "Mwanini Vijana Hamtaki Kuoa?" Tumeanza na Swali Sasa Tujadili: Ukiwahi kuoa mara tu baada ya Uchumba Unaweza Kuoa Mtu Usiyemjua Tabia. Pia Vijana Mkichelewa Sana Mnaonja Asali.? Tuambie Kipi ni Kipi?
  12. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

    "Wakili Fatma Karume Asimamishwa Uwakili kwa Kosa la Kutoa Maneno Machafu Mahakamani" Taarifa inasomeka hivyo. Sasa Suala la kujiuliza Fatma Wakati anatoa Maneno Hayo Mahakamani alikuwa amesahau Sheria Inasemaje?. Au anatetea Sheria Wakati Haijui. Kanumba Ndiyo Maana alikuwa Hawaamini wanawake...
  13. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

    Unataka kusema Kuna Tanzania na kuna Zanzibar. Duuuuh hii kali. Sawa
  14. Arch - Forum Tz

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)

    Nimesoma Taarifa inayosambaa Kwa Kasi Kuhusu Fatma Karume Kusimamishwa Kufanya Uwakili wake "Tanzania Bara" Nikajiuliza Maswali Mengi...! Lakini Zaidi nikashika Neno "Tanzania Bara yaani Tanganyika" Nikaona Dhana ya Muungano Inaanza Kupoteza Maana. Yaani Ukizuiwa Zanzibar Unaruhusiwa Kufanya...
Back
Top Bottom