Arch - Forum Tz
Member
- Sep 20, 2019
- 15
- 35
Naita furaha ya maiti kwakua sasa jamii iliyoumia na kukaa kiunyonge kwa miaka mingi inafurahia namna mpya ya maisha yasiyo ya vitisho lakini ukweli ukibaki palepale kuwa bado jeneza na kaburi ni lilelie ila sanda pekee ndiyo imebadilishwa.
=> Kwanini makato ya miamala yaongezeke
=> Kwanini Mafuta yapande bei
=> Kwanini tatizo la ajira halijatatuliwa hata kiduchu
Najua utasema ni mabadiliko katika uchumi wa dunia, swali ni je, umeshirikishwa katika maamuzi na mchakato katika mabadiliko hayo?
Ndiyo maana nikasema hii ni furaha ya maiti.
Ndiyo tunafuraha lakini umejiuliza maswali yafuatayo?
=> Kwanini makato ya miamala yaongezeke
=> Kwanini Mafuta yapande bei
=> Kwanini tatizo la ajira halijatatuliwa hata kiduchu
Najua utasema ni mabadiliko katika uchumi wa dunia, swali ni je, umeshirikishwa katika maamuzi na mchakato katika mabadiliko hayo?
Unadhani kwanini watoto wa mama mkubwa hawataki katiba mpya?
Ndiyo maana nikasema hii ni furaha ya maiti.