Kichukwechu
Member
- Aug 15, 2019
- 14
- 2
YA MUNGU MENGI SAAAANAAAA HAPA DUNIANI LAZIMA TUTAZIBADILISHA HIZO FIKIRA ZA VYAMA VYA MA-KONK Master
Bwana wa mabwana aliye juu ya mbingu na dunia! Mkono wake ni mrefu sana; ndipo mtalia na kusaga meno!Bwana wetu, Mbowe au?
Hashitakiwi ndiokwani Rais si hashitakiwi?
Hashitakiwi ndiokwani Rais si hashitakiwi?
hana hoyo shida familia yao ina vitega uchumi tele baba yake anamiliki mameli makubwa ya mizigo so anaweza tu kusimamia moja wapo za nyingi ya shughuli zao za kiuchumi.Je kwani hawezi kwenda nchi nyingine akawa advocate huko Hope Vyeti vyake international
if you have to die, die fighting..
Mkuu;Nimesoma Taarifa inayosambaa Kwa Kasi Kuhusu Fatma Karume Kusimamishwa Kufanya Uwakili wake "Tanzania Bara" Nikajiuliza Maswali Mengi...!
Lakini Zaidi nikashika Neno "Tanzania Bara yaani Tanganyika" Nikaona Dhana ya Muungano Inaanza Kupoteza Maana. Yaani Ukizuiwa Zanzibar Unaruhusiwa Kufanya Tanganyika. Basi hii itakuwa Kama ni Nchi Mbili.
Mimi naona Hili Suala la Kutaja "Tangangika au Zanzibar Likome" ibaki Tanzania. Kwani Hatuwezi Kupata Tanzania Bara Hili Suala nakataa kwakuwa "Tanzania Imetokana na Muunganiko Wa Tanganyika na Zanzibar. Hivyo pia hatuwezi Kupatan Tanzania Visiwani.
Najua ni Vigumu kueleweka, Ila kiufupi Si Vema Katika Masuala ya Kiserikali kutajwa Maeneo Haya Mawili kiutofauti.
Mfano. Kama Fatma Karume Kazuiwa Uwakili basi Iwe Tanzania Na siyo Siasa Za Tanzania Bara, Tanzania ni Tanzania tu. Hakuna Bara wala Visiwani.
Kama Mnaona anafaa kufanya Kazi Zanzjbar Basi Hata Tanzania Bara Mnayoitaja anafaa Kwani narudi kwenye dhana ya Mwanzo "Tanzania ni Moja" Kama Tanzania Bara ni Tofauti na Zanzibar Tuwekeni Wazi.
TLS? Hii hii?? OK!Ngoja tuone kama TLS ina meno
Zanzibar ina mahakama yake kuuMfano. Kama Fatma Karume Kazuiwa Uwakili basi Iwe Tanzania Na siyo Siasa Za Tanzania Bara, Tanzania ni Tanzania tu. Hakuna Bara wala Visiwani.
Wenye vyeti vilivyo valid Tanzania tu ni Jiwe na MakondaJe kwani hawezi kwenda nchi nyingine akawa advocate huko Hope Vyeti vyake international
Unajificha nyuma ya keyboard halafu unamwita coward kwanini usijitokeze tu ili tujue uko ofisi ipi na una kazi gani halali au haramu.Me too...
hatoi order tukamuona unafiki wake adharani...
Linatumia watendaji wake kudeal na maadui zake...
What a coward!
Technically fatuma ni mwanasheria wa kuandika mikataba ya Barrick,kumpa kesi mahakamani ni kumbebesha matatizo tuAtulie sa
Upupu mtupu, mnakaririshwa mambo ya kijinga..Bwana wa mabwana aliye juu ya mbingu na dunia! Mkono wake ni mrefu sana; ndipo mtalia na kusaga meno!