Wengine ni uvivu tu.
Ila kuna wengine inabidi wafanye hivyo kutokana na usalama wao maana waweza kuta nyumba na choo ni mbali ila ni nadra sana kukuta mijini nyumba ziko mbali na choo hii nadhani ni vijijini na sehemu ambayo makazi hayajakomaa.
Lakini kama wewe ni wa mjini uko center halafu...
Kwani kujua ki-inglish au kutojua kumeingiliana vipi. Nimeuliza wenye uwelewa kwan mwanzo sikujua kama kuna google?? We ulipaswa ukae kimya mkuu kama hukuwa na nia ya kunielewesha.
Samahani wadau habari za muda huu?
Naomba mwenye uwelewa wa hii kitu inayoitwa VPN!
Hii kitu unakuwa unatumia internet free au ni nini?? Sielewi naskiaga tu vpn vpn.
Habar zenu wadau.
Leo niko na hoja kwa wale wanaotumia Startimes antenna
Miaka ya nyuma kulikuwa na zile code unapata channels za bure kama mbcbollwood mbc colorstv n.k
Je siku hizi mnazipata?? Au wameweka pini?
Kama yuko mdau anazifahamu na anapata anijuze tafadhali... maeneo ya dodoma Dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.