Recent content by aqwexo

  1. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna Wasabato maarufu hapa Tanzania kwenye sanaa, michezo, siasa, system, biashara, n.k

    Hao wanangoja kiayama tu hakuna kitu ingine, wanaheabia tu siku😆
  2. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Huyu ndie Rais wa 2030 anayetafutwa

    Itakua, waaya tumeshika dora ikulu ihamie kashozi, akchuale kule ndio iwe makao makuu ya nchi
  3. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Nimemfuma mke wangu akimfunda jirani/maarufu kama shoga yake kuchepuka

    🤣🤣🤣sicheki kama mazuri lah, hizo ndio ndoa sasa hizo
  4. aqwexo

    JamiiForums Tanzania 20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Ungemuweka doktor Shika Kid ingependezaah
  5. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Katika hili nimejifunza kitu kikubwa sana kuhusu hizi Races

    Mtu akisema dini ni chuki, watu wanabisha kisa wamesokotewa humo kwenye dini hakuna kitu wanaelewa humo..
  6. aqwexo

    JamiiForums Tanzania TANESCO Hamko serious hata kidogo

    Na hawajawahi kua serious hata kidogo
  7. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Kipi kinasababisha barabara za New York kuwa na hali mbaya?

    Itakua ccm ya huko imeanza ku dorora
  8. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Je, ilikuwa sahihi kwa Rais kuiasa hadharani familia ya Mzee Mwinyi isigombane?

    Ametoa kauli hiyo kama kuwaasa tu na kuwakumbusha
  9. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Wewe mwanaume, umejifunza nini juu ya kifo cha Mr Ibu, msanii wa Nigeria?

    Kwamba ni hatua ya kuacha ulimwengu huu na kuendelea hatua ingine kama tulivozaliwa tukawepo na tutachimoka siku mwili taposhindwa mapambano ya kuendelea kubaki duniani
  10. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Namna ya kutumia screen mbili ktk kompyuta

    Hivi cable kuanzia mita,3,za DPI waga zipo kweli?
  11. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkuu wa Jeshi la Polisi(IGP) nani ana cheo kikubwa?

    Chief of defence forces mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama.. Inspector general of police. Mkuu wa jeshi la police... hapo mkubwa ki cheo ni C.D.F
  12. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini CMG (Clouds FM na Clouds TV) hupenda sana kujipendekeza katika birthdays za Marais nchini tofauti na Media zingine?

    Sasa bila kujipendekeza kwa wenye mamlaka na wao ndo wamekupa kibali cha kufanya kazi. Na wanakupa na kazi pia uache kuwasifia uwe kinyume chao waku fungie kisa sifa? Ukipatwa na njala wanaokusifia hamna hata mmoja atalete debe la sembe kwa boma... jikombe ukomboke
  13. aqwexo

    JamiiForums Tanzania Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

    Huyu alipopandishwa cheo akatakiwa aende kozi kama ilivyo utaratibu wa jeshi akagoma akavuliwa cheo alichopewa
Back
Top Bottom