Hii laini nilikuwa nimeichukua mbili na zilikuwa hazijaanza kazi 40,000 yote nimerudishiw Jana . Nliwasiliana na halotel wakasema vidurushi vya ofa sasa huwezi kushea na mtu .
SJG ya Singapore mzee inakaa mbele ya LC300 bila shida kabisa . Kwa kigezo cha mbio tu . Sababu magari ya Singapore yana ECU tune ambayo stage 1 tune peke yake Subaru anafika 300-320Hp bila kugusa engine na SJG za Singapore Zina 260top speed
Sasa Kuna kitu tunaita power to weight ratio ngoja...
Mkuu hapo wewe kazi ni ndogo sana kwangu .
Nimekumbana na watu wa hivo kadhaa na wote wamerejea kwenye Hali zao za kawaida . Naamini hata wewe utakuwa sawa 100%
Njoo PM tusaidizane kabla hujakata tamaa kabisa
Mkuu pole kwa kadhia hiyo . Lakini nadhani umeonesha uoga sana .
Hapo baada ya kufika kituo kikuu na kuhakikishiwa huna kesi ungechukua RB . Then wawekee kimtego tu wakija chapa shaba wote .
Respect must be established
X Trail ipo New Model Number DM..... Inataka 10M
**** Alteza number BRR inataka 4.8M
Zote ziko mwanza ukiwa serious ni simu Moja tu chuma inakufikia ulipo. Zimenyooma engine safi gearbox safi
Yaani mleta Uzi acha nikudokeze
Introvert ni Best communicators sana Hawa .
Kujichanganya na watu wanaweza ila ni lazima pawe na purpose muhimu ikiisha huwexi muona hapo .
Pole Sana mkuu..
Mdogo wangu Mimi(KE) alikumbwa na kadhia hiyo na mume wake wamezunguka kama wewe Tu ..
Walisota Tangu 2020 nikaingilia Kati nikampeleka dogo sehemu .. Mungu NI mwema mwaka Jana kapata mtoto wa Kwanza . Navoongea hapa tena anaweek moja kapata tena mtoto wa pili . ..
Nicheki PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.