Recent content by Appalachian

  1. A

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Lowassa hana budi kukubali matokeo

    Hhaahahaah
  2. A

    JamiiForums Tanzania Kitila Mkumbo: Lowassa hana budi kukubali matokeo

    Well said Mwanamutapa umeongea sahihi huyo jamaa hajui kuchambua uchambuzi wa kinjaa na kishabiki badala ya kisayansi
  3. A

    JamiiForums Tanzania Karibu Eliakim Maswi, Jimbo la Tarime lako 2015

    Mawazo shallow kama haya Tanzania hatufiki popote yaani pamoja na wizi huu na CCM kutufikisha hapa new generation anaandika hivi? Basi nichukuliwle aliyeandika ni Wassira au Kinana lakini si kizazi kipya
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    Hebu tuache kuongea kishabiki kazi zingine sio lazima kuzalisha bali service yake inaweza kuathiri uchumi ikiendeshwa vibaya pale TPDC hawazalishi lakini service yake ni very important kutoathili mifumuko ya bei iwapo itaendeshwa bila madeal. Sawasawa na kamishina wa TRA anazalisha nini...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Nehemia Mchechu wa NHC ni USD 19,000 kwa mwezi

    Si peanut kwa uchumi wa Tanzania analipwa pesa nyingi sana dollar 8000 pamoja na marupurupu yake ingetosha sio alipwe dollar 19,000 za nini?
  6. A

    JamiiForums Tanzania Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

    Israel ni powerful kuliko taifa lolote pale mashariki ya kati hawajaamua kuexercise nguvu zao rasmi na kila wakipiga Marekani, Saud Rabia, Cuwait, Misri na nchi za ulaya huwaambia waende polepole wasije leta mtafaruku wa dini duniani kumbuka Saud Arabia, Cuwait na Misri hawapendi Hazebollah na...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

    Don't fool yourself kuwa Israel haina nuke utakuwa umepotea maboya kuhusu Gaza wanapiga kishikaji wakiamua inapotea kwenye ramani ya dunia Egypt, Syria, Jordan zilivamia Israel kwa pamoja ziliishia kugongwa kama watoto Turkey hana lolote mbele ya Israel pamoja na kuwa ni ya nane Israel nguvu...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Vladimir Putin quit the G20 summit in Brisbane early saying he needed to get back to work in Moscow

    Kwahiyo.unahalalisha uasi na umakini kuitwa mchezo mchafu kwahiyo leo hii ni halali wachagga wakajitangazia nchi na kuuita Chagaland, Wanyakyusa nao nchi yao, Wasukuma nao wakaita Sukumaland pia Wahaya wakaita Hayaland? Putin ni mchokozi analeta ubabe wa kizamani Ukraine haitaki kuwa upande wa...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Muslims found Americas before Columbus says Turkey's Erdogan

    Hahahaa bonge la ongo linalazimisha pasipo lazimika.ingekuwa hivyo kabla ya kanisa kujengwa bara la Amerika kungejengwa msikiti kwanza.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Vladimir Putin quit the G20 summit in Brisbane early saying he needed to get back to work in Moscow

    Mkuu hana lolote huyo kaingia mitini kukwepa kunyooshewa kidole kuvamia Ukraine na kutungua ndege ya abiria ya Malaysia iliyojaa waholanzi. Putin anajiona yuko sidelined kwenye medali za kimataifa nchi za magharibi Marekani anaongoza za mashariki China ndiye boss hii inamfanya Putin asiwe na...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Turkish PM: Nothing will prevent us from protecting Jerusalem

    Azusa hakika umenena hawa Turkey hawana jipya zaidi ya kukiuka haki za kibinadamu wao wenyewe wanahusika na mauaji wa Waarmenia zaidi ya milioni tatu ethinic cleansen sababu tu waarmenia hawakuwa waislamu hii ilisababisha Urusi ya Tsar Alexander kuivamia Turkey na muda wote warusi walishinda ndo...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Obama alipomkumbatia ''Mgonjwa wa Ebola''

    Bravo kamanda haya maelezo yako well presented again you too deep on issues. Napenda maelezo yakinifu yenye narratives so mtu anaona kisemwacho si maelezo mepesi yasiyo na hoja
  13. A

    JamiiForums Tanzania Obama alipomkumbatia ''Mgonjwa wa Ebola''

    Well said mkuu hii kitu ni too deep ni wenye uwezo wa kuchanganua mambo kuona haya
  14. A

    JamiiForums Tanzania Wanandugu wa Palestina wakutana Iran, Tanzania haimo, Membe wapi?

    Mkuu fanya uchunguzi kabla ya kuanza kurusha lawana Tanzania likuwa ni nchi ya kwanza kusini mwa jangwa la Sahara kutambua struggle zao dhidi ya unyanyaji wa Israel kiasi cha kwamba tukaamua kuvunja husiano na Israel jambo ambalo Jommo Kenyatta, Kenneth Kahunda, Edwardo Don Santos wa Angola...
  15. A

    JamiiForums Tanzania He is the best husband ever, tatizo ni moja tu

    Stop being single minded person discussion is both ways not a one way traffic unataka kupandikiza mawazo yako ya chuki dhidi ya hao adunje lakini hoja zikijibiwa hupendi kafungue blog yako uwe unaweka mawazo unayotaka wewe maana nijuavyo mjadala ni both ways unatoa facts kwa mujibu wa mtizamo...
Back
Top Bottom