Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,506
Wazuri wanaolewa sana na harusi zao nyingi tu inategemea unahudhuria harusi ya nani. Ni sawa na kusema wanawake wasomi sana hawaolewi tukumbuke wakati mwingine wanaume nao ni waoga anaogopa kuoa mke msomi sana iwapo elimu yake ni ndogo pia anaogopa kuoa mwanamke mzuri sana kwa kutojiamini. Ila wanawake wazuri wanaolewa sana tu ili mradi awe katulia na si kwamba wabaya na wale wa wastani wametulia bali nao hulambwa na wabaya wenzao. Tukumbuke uzuri wa mke ni tabia zaidi
Yaan umeandika vizurii sanaa point tupu