ila tukiacha ushabiki hawa jamaa sio wastaarabu hata kidogo na askari wasingewauwa ingekuwa ishu nyingne wanapaswa kutambua sheria na waache ukorofi pia hongera vijana wa polis kwa maamuzi magumu kulinda usalama.
kikubwa nidhamu ndogo ya madereva kwa vyombo vya usalama.mm naona wamemtendea haki yake kwan ameona fika kuwa ni gar ya viongoz wa jeshi akafanya jeur kulipiga pas,swali la kujiuliza ni kweli imetokea km ajali au ni matumiz ya gar km silaha hapo ndio watajua ni trafik kesi au uhalifu mwingne.ila...
tatzo ni wasimamizi wa uandikishaji katika maeneo husika hizi mashine ni nyingi ukizipangia utaratibu mzuri mm nimesimamia na hatujapata kero za kuacha watu ingawa bvr zinachangamoto ila sio za kutisha hvyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.