Mleta mada ulichoongea kinamashiko kabisa, kiukweli Dr Magufuli anaweza akaifanyia makubwa nchi ya Tanzania kuliko Lowasa. Ni kweli watu tumeichoka CCM lakini vilevile CHADEMA sio suluhisho. Watu wengi tunalalamikia tatizo ni mfumo lakini tumesahau kuwa mfumo hutengenezwa na watu. Mtu mmoja...
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.
Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali...
Hiiiiiiiiiii kwani mafuriko ndio ushindi, kura ni siri ya mtu, mafuriko wanakuja kusikiliza tu mwisho wa siku mtu anaamua kwenye sanduku la kura. Kuna mtu anaweza kubadilisha mawazo sikunde 1 kabla ya kudumbukiza karatasi. Kwa hiyo watu mnaofikiria mafuriko ndio ushindi YOU ARE TOTALLY WRONG
Hii tabia ya kuwatetea upinzani kutofanya vizuri majimboni vyao kwa kisingizio kuwa wao sio serikali siyo njema kabisa. Hawa akina Mnyika wanasubiri wapewe habari za ufisadi kisha hao mjengoni kwenda kuripoti mjengoni. Hilo ni jambo jema lakini sio kusudi kuu la sisi kuwachagua.
Wabunge vijana...
Hizi kura za maoni ya kuteuliwa ubunge kati CCM na CHADEMA hazina uwiano kabisa. Kwa mfano mteuliwa wa chadema ameshinda kwa kura 65 kati ya 125 ya wajumbe wote, wakati ukija CCM mteuliwa ameshinda kwa kura 16356 kati ya kura 25,650. Sasa unakuta watakaopiga kura wote mwezi wa kumi wapo 50,000...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.