John Mnyika, asante kwa utapeli huu

John Mnyika, asante kwa utapeli huu

Hii tabia ya kuwatetea upinzani kutofanya vizuri majimboni vyao kwa kisingizio kuwa wao sio serikali siyo njema kabisa. Hawa akina Mnyika wanasubiri wapewe habari za ufisadi kisha hao mjengoni kwenda kuripoti mjengoni. Hilo ni jambo jema lakini sio kusudi kuu la sisi kuwachagua.

Wabunge vijana wanabidi wabadilishe jinsi ya kuwajibika kama wabunge. Mimi nilitegemea mtu kama Mnyika ambaye anauwezo mzuri kielimu akamate wasomi wachache waandike miradi tofauti tofauti na kufanisha kutatua matatizo ya watu jimbo lake hata kwa uchache tu.Sio kuitegemea serikali katika kila jambo. Mitaa ya kimara kuna barabara nyingi ni mbovu kabisa lakini kuna watu wenye uwezo wa kipesa na kujitolea kujenga au kuchangia barabara kama hizo pindi kama atatokea mbunge mwenye kuonyesha jitihada na nia ya dhati kutatua tatizo la barabara kwa kukutana na wananchi na kuwapa motisha.

Kwa kweli wabunge vijana wameniangusha sana....tunataka mabadiliko lakini mabadilko halisi yataletwa na wabunge vijana wanoweza kufikiri nje ya box na sio kukaa kwenye viti virefu wasubiri kuongwa habari nyeti za kwenda kupinga ufisadi tu. Bull shiiiiiit
 
Mnyika ametuchosha hana jipya wanakibamba hatudanganyiki tena TUNAENDA NA dkt.FENELLA ubunge.2015-Kibamba
 
vp jimbo la segerea au ukonga mbona kero ya maji kubwa hatab kuliko ubungo na yalikuwa na wabunge wa ccm?
 
Masaburi atoroke aje meya aliyeuza uda aliyetuzuia bodaboda kufika mjini tambua MNYIKA ndo MBUNGE wa kibamba na kubenea ndo MBUNGE wa ubungo hutaki kale malimao
 
Badala ya kulia na serikali ya ccm unalia na mnyika??

Haya ndio yanawafanya mjishushie heshima baadala kujibu hoja unalialia,, mnyika alikuwa mbunge kwa miaka hiyo aliyokaa tuambie amelifanyia nini jimbo ubungo mpaka tumpe tena na kibamba?? Au tulimchagua kwenda bungeni miaka mitano kuwasema mafisadi ambao leo ni rafiki zake??? tujaribu kuwa serious kwenye mambo muhimu..
 
Namkubali Mnyika sanaa, na mimi kama mkazi wa ubungo kura yangu atailamba. Acheni chuki za kisiasa zisizo na maendeleo, kuna wabunge wameahidi maendeleo ya elimu bora kumbe elimu yenyewe ya madawa ya kulevya watoto wetu wanageuka mazezeta huko. Tubadilike watanzania
 
Hii tabia ya kuwatetea upinzani kutofanya vizuri majimboni vyao kwa kisingizio kuwa wao sio serikali siyo njema kabisa. Hawa akina Mnyika wanasubiri wapewe habari za ufisadi kisha hao mjengoni kwenda kuripoti mjengoni. Hilo ni jambo jema lakini sio kusudi kuu la sisi kuwachagua.

Wabunge vijana wanabidi wabadilishe jinsi ya kuwajibika kama wabunge. Mimi nilitegemea mtu kama Mnyika ambaye anauwezo mzuri kielimu akamate wasomi wachache waandike miradi tofauti tofauti na kufanisha kutatua matatizo ya watu jimbo lake hata kwa uchache tu.Sio kuitegemea serikali katika kila jambo. Mitaa ya kimara kuna barabara nyingi ni mbovu kabisa lakini kuna watu wenye uwezo wa kipesa na kujitolea kujenga au kuchangia barabara kama hizo pindi kama atatokea mbunge mwenye kuonyesha jitihada na nia ya dhati kutatua tatizo la barabara kwa kukutana na wananchi na kuwapa motisha.

Kwa kweli wabunge vijana wameniangusha sana....tunataka mabadiliko lakini mabadilko halisi yataletwa na wabunge vijana wanoweza kufikiri nje ya box na sio kukaa kwenye viti virefu wasubiri kuongwa habari nyeti za kwenda kupinga ufisadi tu. Bull shiiiiiit

Mkuu watakuita CCM kwa ukweli huu ulioandika lakini ndio ukweli huo na utakuwa umeeleweka kwao,, kwa kuongeza pia, hao mafisadi waliokuwa wakipambana nao na kuwafichua ndio marafiki zao leo wanawanadi kwenye majukwaa leo,, Sumaye na LOWASSA walimnadi MNYIKA na mnyika nae leo anasema chagua LOWAssa..
 
Duu Babeli kumbe mnyika alikuwa anakusanya kodi usituambie bwana. Rais hakuahidi maji,umeme vitakuwa historia miaka kumi iliyopita leo hii vp na kodi kakusanya. Tunapomlaumu mbunge tena wa upinzani kidogo tutumie akili ya kuzaliwa. Angekuwa waziri je si ungemmeza mbunge wa watu. Mnyika hata akigombea Arusha anashinda asubuhi kabla hujaamka kama humtaki wapo milioni 6 wanamhitaji.

Kwahiyo MNYIKA asubiri kwanza mpaka LOWASSA atakapo kuwa rais na ndio na yeye achaguliwe?? Mnyika kama mbunge alikuwa ana nguvu yake na naye kwenye hili,, miaka aliyokaa bungeni na ile nguvu ya kumuita LOWASSA fisadi angeitumia kulilia maji Nafikiri yangekuwa kwa 70% amefanikiwa,,
 
Katika wabunge ambao wanajigamba wana solution ya matatizo ya wananchi wao majimboni ni huyu kamanda.

Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea.

Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 05 umefanya nini hasa cha maana.

Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwenye vyombo vya habari saa hizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaani.

Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri hata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.

Ujinga mtupu mnaudhi


Kikwete katatua nini kama yeye ndio serikali Kuu??

Kitengo cha ccm masaki kimefeli
 
Hata kibamba hajafanya kitu amwache Dr Mukangara afanye mambo

Huyo dr amekufanyia nini yeye na chama chake! Chama cha wataalam wa kulaza mabomba yasiyotoa maji! Rejea mradi wa maji mtaa wa mpigi magohe mtaa ulio chini ya uongozi wa michichiem mradi wa milioni 500 usio na manufaa yoyote kwa mwananchi!
 
Kama hata hujui kipindi alichokaa Mnyika bungeni, hauwezi kujua mambo aliyoyafanya !

Wananchi wa ubungo (nikiwemo na mimi) ndio tuliompeleka Mnyika bungeni, ninaamini kwa wale wa kibamba watamrudisha tena bungeni.... Na sisi wengine tuliobaki Ubunge tutampeleka Kubenea bungeni.....

October 25 sio mbali, tuvute subira !

kubenea kasema mpaka mkimchagua ndio atataja mafisadi.uongo ulioje,data zote amezipata kutoka kwa dr.slaa halafu huwezi taja mafisadi bila ya lowassa kuwemo,naona ameshindwa kabla hata ya kura kupigwa
 
Katika wabunge ambao wanajigamba wana solution ya matatizo ya wananchi wao majimboni ni huyu kamanda.

Kamanda umetuangusha sana nadhani ndio maana umekimbia jimbo kwa madai eti unamwachia Kubenea.

Wananchi wako uliwaahidi ndani ya siku 100 utakuwa umetatua tatizo hilo. Hivi katika kipindi chako cha miaka 05 umefanya nini hasa cha maana.

Yaani mnakera sana kwa kuahidi mambo hewa kwa sababu yanarudisha nyuma imani kwa wananchi. Wananchi wapo kwenye vyombo vya habari saa hizi wanalalamika nyinyi mnatesa tu mitaani.

Bwana Kubenea ameamua kubeba mfupa uliomshinda Mnyika ndie atatutia aibu mara mia. Ni kheri hata asingegombea kwa sababu kama Mnyika na ujanja wote kasepa kiaina huyu Kubenea atawezaje.

Ujinga mtupu mnaudhi

Ok umemaliza kimbilia kwa masaburi akakulipe buku10.
 
Kwanini aliahidi? au hawa wanaoahidi sasa kuna haja gani ya kuwachagua ikiwa wanaitupia lawama ccm!? bora kumpa mgombea wa ccm atatupa majawabu. Masaburi oyeeeee!
Umezungumza kweli kabisa. Kama makamanda tunaahidi kwa kuitegemea mgongo wa ccm basi tuwe na uhakika na tunachoahidi sio kutapeli wananchi. Tusitumie kutokuelewa kwa wananchi kuwa ni faida na fursa kwetu. Tuwe wakweli na basi tuahidi yale tutakayoyamudu basi. Na kamwe tusiitupie ccm lawama kwa lolote kwa sababu nafasi za ubunge wananchi wananchi wametupa sisi na sio wa ccm
 
Back
Top Bottom