Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Niambie nini kinaendelea ee bana Argentina wanatolewa nini huku kwangu kila kitu ni hovyo hovyo,umeme umerudi now,Dstv inaniambia sijui ujinga gani,najaribu online connection inazingua.......mhh!!!

Pole sana bidada unamkosa Messi, leo anatoa mapande tu hataki kufunga soon atakuwa na hatrick ya mapande tu
 
Back
Top Bottom