Ningekuona una busara kama ungetumia luga moja kuliko ivi au kwa akilizako umeona ukichanganya luga ndo utaonekana msomi sana japokuwa umeandika point ila umetukera
Habari za humu wana jamvi.
Naamini Jumapili imekuwa poa sana, ambao mambo hayajakaa sawa Mungu atufanyie wepesi.
Mimi sio mwenyeji sana humu JF ila naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwa muda mrefu nimekuwa katika hali ya sintofahamu kuhusu hali hii jicho langu limekuwa likicheza sana...
Ume simplify sana mkuu na ingekuwa rahisi kama unavyosema kila mtu angekuwa anafanya hiyo biashara otherwise mtajie na changamoto zake utakuwa umemsaidia sana kuliko kumwaminisha kirahisi kiasi hicho
Kwa mawazo haya nimetilia mashaka uwezo wako wa kuchambua hoja na kutathmini mambo hasa hapo uliposema wagonjwa wana panda hadi gorofa ya pili najiuliza ivi upo serious unaumwa then upande hadi gorofa ya pili hata kama utumie wheelchair bado hainingi akilini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.