Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Anahitajika msichana wa kazi za nyumbani
Ni kuhudumia Wazee mke na mume wake
Kazi zake kubwa itakuwa ni
Kufua
Kwenda sokoni
Kufanya usafi wa mazingira
Kuhudumia na kulisha kuku
Kupika mara moja moja
.......
Vigezo
Awe amesomea upishi
Awe amemaliza kidato cha nne
Awe anashiriki misa za nyumbani inapokuwa nyumbani
Awe mwenyeji wa mikoa ya Mbeya,musoma,shinyanga Au simiyu
Asiwe mvivu, Asiwe mwongeaji sana kupita wenyeji wake,
Asiwe na kiburi au majivuno pia asiwe na familia
Utapewa ajira ya miezi sita ili kuchunguza tabia yako mkiendana utaongezewa mkataba
Wenyeji wanaishi Tegeta
Mwenye kuhitaji tuwasiliane
Ni kuhudumia Wazee mke na mume wake
Kazi zake kubwa itakuwa ni
Kufua
Kwenda sokoni
Kufanya usafi wa mazingira
Kuhudumia na kulisha kuku
Kupika mara moja moja
.......
Vigezo
Awe amesomea upishi
Awe amemaliza kidato cha nne
Awe anashiriki misa za nyumbani inapokuwa nyumbani
Awe mwenyeji wa mikoa ya Mbeya,musoma,shinyanga Au simiyu
Asiwe mvivu, Asiwe mwongeaji sana kupita wenyeji wake,
Asiwe na kiburi au majivuno pia asiwe na familia
Utapewa ajira ya miezi sita ili kuchunguza tabia yako mkiendana utaongezewa mkataba
Wenyeji wanaishi Tegeta
Mwenye kuhitaji tuwasiliane