Bila shaka uzuri kampita mkeo.
Je ulichagua vibaya!?
Je mkeo anasemaje unapomweleza hali halisi?
Km hujamweleza ,kwanini bado?
Maamuzi unayotaka kuyachukua yana matokeo hasi au chanya ktk ndoa na maisha yako kwa ujumla!!?
Kuna namna nyingi kumfundisha mtu.
Kuwapa hela hajakosea coz ndo zinawa-drive. Inakuwaje km hata watoto yatima keshawasaidia?
"Kisebusebu na kiroho papo".
Mkataa pema....
Huruma ya mtu huzaliwa. Mwanaume anaweza kuwepo na manyanyaso kwa mkewe yakaendelea vile vile coz hatua ya uchungu ilishapita.
"Ugumu wa tofari hupimwa kwa tanuru".
Genetically ni sahihi kabisa offspring kurith kwa wazazi hadi kwa babu zake.
Japokuwa uelewa kwa mtoto unachangiwa sana na UP-BRINGING Yake.
Andaa mazingira rafiki na masomo & social squables!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.