Recent content by Anthonio

  1. Anthonio

    If I meet trillionear BILL GATES

    Asante mkuu [emoji106]
  2. Anthonio

    She wants to be alone

    Relax MEXICANA...... Hapo kuna vitu viwili. 1. Inawezekana kuna weakness amegundua kwako sasa anahitaji muda wa kufikiri na kufanya maamuzi. 2. Inawezekana kuna kidume amekipata ambacho ni bora kuliko wewe. ANDAA KICHWA KWA MAMBO 2. 1. Kuambiwa kuwa safari yenu ya mapenzi hapo ndo...
  3. Anthonio

    If I meet trillionear BILL GATES

    umegundua nini kwenye post yangu?
  4. Anthonio

    If I meet trillionear BILL GATES

    Mkuu BAVARIA hiyo ya CHARITY watu wengi huwa wanadanganya. Mimi napenda kitu ambacho ni reality.
  5. Anthonio

    If I meet trillionear BILL GATES

    [emoji120]
  6. Anthonio

    If I meet trillionear BILL GATES

    Hi Jamii forum members! I am a normal person but dreaming to see A TRILLIONEAR BILL GATES. 1. If I get a chance to see him I will ask him to fund me 1,000,000 US $ as a Capital for a business. I will use such money to build a School and paying salaries and wages for workers for at least...
  7. Anthonio

    Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena

    Mmmh.... ngoja nibadilishe badilishe muda wa kurudi nyumbani. Huenda nikapata bahati ya kufumania mimi mwenyewe.
  8. Anthonio

    Nampenda Tatty

    Mmmh.... ila wewe ni jasiri.
  9. Anthonio

    Unatongoza vipi mwanamke aliyekuzidi kwa kila kitu?

    [Unamuita pembeni unamnong'oneza nakupenda lakini usiniumbue ukiona amekasirika kimbia sio pazur hpo] Ha ha haaaaaaa..... daaah umenichekesha sana mkuu
  10. Anthonio

    Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    "Msiba usio wako haumi na hata ukiuma maumivu yake ni kidogo sana" Yakikukuta utajua ninacho maanisha. POLENI WAADHIRIKA.
  11. Anthonio

    Ushauri: Nataka kufunga pingu za maisha, ila nashindwa kufanya uchaguzi sahihi

    WOSIA WANGU: 1. Ndoa ni mkataba wa watu wawili waliorithiana kuishi pamoja (Kidini ni lazima iwe jinsi ya ME na KE. Chagua unayempenda wewe ili mkataba uwe wa manufaa kwako. 2. Kosea njia utaelekezwa, ila kosea kuoa uone.
  12. Anthonio

    I miss those days

    Ha ha haaaa....... Nakumbuka wakati huo hamna jezi za mpira. Solution ilikuwa timu moja wanavua mashati na wengine wanavaa.
  13. Anthonio

    Nimechoka kuachwa, kisa najituma sana

    Nakushauri, 1. Fanya mazoezi mara kwa mara 2. Punguza kula baadhi ya vyakula NB: Tendo la ndoa ni birudani ila ukizidisha inakuwa karaha.
  14. Anthonio

    Taarifa ya Edward Lowassa juu ya hali ya kisiasa Nchini na Mustakabali wa Zanzibar, Nov 15, 2015

    [Dkt Magufuli kamata hili jizi na fisadi Lowassa litiwe lupango. Maana hakuna na] 1. Siku Mheshimiwa atakayo timiza ahadi ya kuanzisha mahakama ya majizi na mafisadi nitamuamini. 2. Siku EL atakapo pelekwa mahakamani na kufungwa kwa sababu ya wizi na ufisadi, nitaamini kuwa EL ni mwizi...
  15. Anthonio

    Nyumba ya Askofu Gwajima imezungukwa na Polisi sasa hivi

    Haya ni matumizi mabaya ya vyombo vya dola. WANATUMIA RISASI KUUA MBU. Police order ya kuitwa kituoni Askofu Gwajima inatosha kabisa.
Back
Top Bottom